Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
Du lakini hawa polisi inabidi wapewe mafunzo jinsi ya kupiga jamani! INGEKUWA CHADEMA WAMEINGIA MADARAKANI UNGESIKIA, CHADEMA WAMWAGA DAMU UDOM GAZETI LA MTANZANIA HILII!
MKUU TUNAJUA YOTE HAYO BUT KWANINI MUWAPE UONGOZI WAPUUZI HAO ANI VYUO AU UNADHANI VYUO VINGINE HAVINA WATU WA HIVYO?? PIGENI CHINI UONGOZI WAMAPAPET HUO UPO KILA SEHEMU! nTatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
pole zao lkn hawa vijana hawanaga msimamo sasa hivi wanapewa kibano wkt juzi kwenye kampeni walikuwa began kwa bega na jk mashairi na mashati ya kijani sasa hawakuwa wamemwambia matatizo yao au aliwaahidi kuwatatulia akawatosa manake ni juzi tu wamepat naye sanjari na kumpa another udr leo wakilia inaacha maswali au waliokuwa wakimshabikia kawarekebishia?
Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
Acha kuleta umbea hapa,source ni muhimu. Tumewasiliana na wadogo zetu haya unayoongea hayajatokea. Ila kichapo wamekula
Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
Tatizo wachangiaji wengi hamjui kuwa kuwa hapa udom kuna kikundi cha wanafunzi wachache wanaoishobokea ccm na cku zote hupewa airtime ya kutosha ktk media kwa upuuz wowote wanaosema either kwa kuponda upinzan au kuicfia ccm so nawaomba mnapogeneralize na kuponda wanaudom wote mzingatie hlo cz kuna usemi usemao 'no research no right 2 speak'
Hawa polisi hawana adabu kabisa kuwapiga wana ccm, kichapo hicho walistahili kupewa wana chadema, kwani wana ccm ni malaika.Watoto wa watu walimchangia mkwere 1m leo polisi wanawashushia kipondo cha mbwa mwizi ama kweli siasa mchezo mchafu. CCM iliwatumia kama kondom wamemaliza shida zao wana kong'oli hivyo.