Nguvu na ladha ya Bangi iko mafichoni; ikiruhusiwa Bangi haitakuwa na madhara na ndiyo njia bora ya kuitokomeza

Nguvu na ladha ya Bangi iko mafichoni; ikiruhusiwa Bangi haitakuwa na madhara na ndiyo njia bora ya kuitokomeza

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Power of Meditation!

Nguvu ya bangi iko kwenye maficho yake!
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi chooni hiyo ndo inamfanya awe na mental illness
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi msituni hiyo ndiyo inamfanya ajione mwamba
  • vile mvuta bangi anapovutia bang beach, Starehe ya upepo wa beach huzani bangi inachangia!
Hivyo maficho (UTULIVU) yanachangia sana kuifanya bangi ionekane ina nguvu au Madhara!

Mfano: Kuna msemo usemwao "ubwabwa wa kwenye sherehe mtam kuliko wa nyumbani"

Ukweli ni kwamba mazingira ya upanakaji wa ule ubwabwa, vile ubwabwa unacheleweshwa, halafu kuupata kwa foleni, mikwara ya wagawaji na hofu ya kupigwa mchinjo, au vile kula wengi kwenye sahani moja, huchangia KUUFANYA UBWABWA UWE MTAM!

Na bangi ndivyo ilivyo! Siku Ikiruhusiwa hakuna atakaetamani kuvuta Bangi, itakuwa kama sigara zingine za kawaida tu!

NGUVU YA BANGI IKO MAFICHONI!
Maficho humfanya mtu awaze Mambo makubwa kwa sababu ya UTULIVU, hata ukichukua sigara ya kawaida ukaivutia chimbo kwa hofu, Mwili hupata hamasa tofauti na kuivutia hadharani!

Utam wa bangi ni Kama wa mchepuko, hata mwenza wako mkipeana kwa wizi utaona utamu.
 
Serikali inapoteza mapato Sana katika bangi.

Tozo za leseni zingekuwa hivi:

1. Mvutaji - Tsh 25,000

2. Mkulima - Tsh 500,000 (inategemea na ukubwa wa shamba).

3. Mfanyabiashara wa ndani Tsh. 1,000,000 na mfanyabiashara za nje Tsh. 5,000,000.

Na hapo bado Kodi ktk miamala na mauzo ya hiyo bangi.

Wakati nchi zingine zimeona Ni fursa sisi huku Tz tunaona Ni matatizo...
 
Serikali inapoteza mapato Sana katika bangi.

Tozo za leseni zingekuwa hivi:

1. Mvutaji - Tsh 25,000

2. Mkulima - Tsh 500,000 (inategemea na ukubwa wa shamba).

3. Mfanyabiashara wa ndani Tsh. 1,000,000 na mfanyabiashara za nje Tsh. 5,000,000.

Na hapo bado Kodi ktk miamala na mauzo ya hiyo bangi.

Wakati nchi zingine zimeona Ni fursa sisi huku Tz tunaona Ni matatizo...
kabisaaa
 
Power of Meditation!

Nguvu ya bangi iko kwenye maficho yake!
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi chooni hiyo ndo inamfanya awe na mental illness
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi msituni hiyo ndiyo inamfanya ajione mwamba
  • vile mvuta bangi anapovutia bang beach, Starehe ya upepo wa beach huzani bangi inachangia!
Hivyo maficho (UTULIVU) yanachangia sana kuifanya bangi ionekane ina nguvu au Madhara!

Mfano: Kuna msemo usemwao "ubwabwa wa kwenye sherehe mtam kuliko wa nyumbani"

Ukweli ni kwamba mazingira ya upanakaji wa ule ubwabwa, vile ubwabwa unacheleweshwa, halafu kuupata kwa foleni, mikwara ya wagawaji na hofu ya kupigwa mchinjo, au vile kula wengi kwenye sahani moja, huchangia KUUFANYA UBWABWA UWE MTAM!

Na bangi ndivyo ilivyo! Siku Ikiruhusiwa hakuna atakaetamani kuvuta Bangi, itakuwa kama sigara zingine za kawaida tu!

NGUVU YA BANGI IKO MAFICHONI!
Maficho humfanya mtu awaze Mambo makubwa kwa sababu ya UTULIVU, hata ukichukua sigara ya kawaida ukaivutia chimbo kwa hofu, Mwili hupata hamasa tofauti na kuivutia hadharani!

Utam wa bangi ni Kama wa mchepuko, hata mwenza wako mkipeana kwa wizi utaona utamu.
Bangi inafaida nyingi kuliko hasara
 
Power of Meditation!

Nguvu ya bangi iko kwenye maficho yake!
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi chooni hiyo ndo inamfanya awe na mental illness
  • Vile mvuta bangi anapovutia bangi msituni hiyo ndiyo inamfanya ajione mwamba
  • vile mvuta bangi anapovutia bang beach, Starehe ya upepo wa beach huzani bangi inachangia!
Hivyo maficho (UTULIVU) yanachangia sana kuifanya bangi ionekane ina nguvu au Madhara!

Mfano: Kuna msemo usemwao "ubwabwa wa kwenye sherehe mtam kuliko wa nyumbani"

Ukweli ni kwamba mazingira ya upanakaji wa ule ubwabwa, vile ubwabwa unacheleweshwa, halafu kuupata kwa foleni, mikwara ya wagawaji na hofu ya kupigwa mchinjo, au vile kula wengi kwenye sahani moja, huchangia KUUFANYA UBWABWA UWE MTAM!

Na bangi ndivyo ilivyo! Siku Ikiruhusiwa hakuna atakaetamani kuvuta Bangi, itakuwa kama sigara zingine za kawaida tu!

NGUVU YA BANGI IKO MAFICHONI!
Maficho humfanya mtu awaze Mambo makubwa kwa sababu ya UTULIVU, hata ukichukua sigara ya kawaida ukaivutia chimbo kwa hofu, Mwili hupata hamasa tofauti na kuivutia hadharani!

Utam wa bangi ni Kama wa mchepuko, hata mwenza wako mkipeana kwa wizi utaona utamu.
Nimecheka sana huo mfano wa ubwabwa😀
 
Back
Top Bottom