Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Unaweza kumuuliza Sir Chande yuko hapo DAR,ambae alikuwa ni mwenyekiti wa freemason afrika mashariki.Na kitabu alitoa.Jitahidi kusoma
I had the same blv since 2008 n tried alot kusoma, nilishamsoma huyo Chande muasia, but nobody prove that to me

Zaidi nilishawaambia wanifanye kuwa mmoja wao wakabaki na kuweka masharti ambayo ni ya kunidiscourage nisiwafuatilie zaidi.

Ni sawa na watu wanaoamini na kuelezea nguvu ya uchawi flani ila nikiwaambia kama kuna uchawi huo waniloge mimi...wanaendelea kuvumisha habari ila hawawezi kuloga.

Its all about poor believes na rumuors.

Naamini UCHAWI upo ila sio kama jinsi watu wanavyoeleza, kuhusu Freemasons siamini at all.
 
Unaweza kumuuliza Sir Chande yuko hapo DAR,ambae alikuwa ni mwenyekiti wa freemason afrika mashariki.Na kitabu alitoa.Jitahidi kusoma
Huyu jamaa.ana matatizo ya akili.msamehe bure.ukiona mtu anapinga vitu ambavyo viko wazi achana nae.
 
1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni

2.Husafiri bila passport nje ya nchi

3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully

4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.

5.Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela

6.Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria

7. Ana uwezo wa kutolipa kodi

8.Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha

9. Ni malkia wa Australia pia

10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.

11.Ni mwenyekiti wa kanisa la Anglikana

12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia

13. Anakinga ya kutoshitakiwa

14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames

15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake
HANA UWEZO WA KUMPA MTU PUMZI NA PIA HANA UWEZO WA KUISHI GOD AKIAMUA KUFANYA YAKE!!!![emoji5]
Huyu mama ana mamlaka next to God....
 
Back
Top Bottom