Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Malkia akiweka handbag lake mezani ujue anataka kuondoka baada ya dakika tano, na wakati mwingine akianza kuweka mkoba mara kulia mara kushoto ujue ameboeka na story anataka jamaa aondoke hizo ni ishara kwa aide wake
 


Alialikwa kuzindua machine ya vacum cleaner, wakati wa demo haikufanya kazi. Akauliza hiki ni kiwanda cha muhindi? Mpaka leo wahindi wanamchukia sana kwa utani wake.
 
duh!! uyo jamaa atakuwa na undugu na Mo11 hahah
 
Huyo mume wake yupo hai mpaka sasa??
 
Acha ujinga wewe eboo!
 
ubwa wewe, yaani Mungu wangu unamfananisha na huyo takataka anayesubiri kuoza? eti next to God bora ungeweka god ila God? ukome kabisa usirudie tena.
Aiseeeee.....and who is your God chief....just curiuos to know..!
Huyo Mungu wako ndio kakutuma uite watu pumbafuuu...[/QUOTE]
Sorry reply ililenga kwa mwengine..
 
Mungu aliumba moto wa jehanamu kwa ajili ya shetani, shetani anafanya ujanja wa kupata wafuasi wa kwenda nae
Inaonesha mungu bado hajastukia huo ujanja was shetani ?![emoji6] [emoji6]
 
Ni reptilian / queen mother of freemason worlwide/
she is above 33 degrees,hivyo ana kila uwezo wa kimaajabu.
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
 
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
......@bufa / upeo wa uelewa hutofautiana....../ ishike imani yako!......./usitetereke kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…