Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Lakini ana ruhusu wanawake wote wajawazito UK kujisaidia eneo lolote bila kubuguziwa Iwe polisi au ikulu/mahakamani
 
Kwani anasherekea Mara mbili siku ya kuzaliwa
 
Halaf tukifa wote eti Mungu atuchome moto sawa na malkia Elizabeth,aiseeee!!!nitashangaaaaa
Huo no ubwege hayo no mamlaka mbayo hata ww unaweza kujipa kwa kigezo cha kumiliki kundi la wajinga flank alafu kwa mungu hakuna staff hilo ulitambu kwanza sio general ni kwa wapuuzi wengine tu mbali na hapo

Atakufa
Anaugua magonjwa kama wengine
Anaenda chooni kama wengine
Anavuta oxygen hii hii kama unayovuta ww
Ni binadam kama we tofauti rangi
Labda alichokuzidi ana dhambi nyingi sana huyo mama atakua kuni Sikh ya kiama
 
Umejuaje kwamba ana dhambi?!! Usihukumu ......... Wewe siyo Mungu!!!!
 
Nimekuelewa saaaana rafiki.
 
Lakini baada ya yote atakufa kama sisi tu
 
Huu uzi ulikua mzuri kabla haujavamiwa na wafia dini na wafia upagani.
 
Umejuaje kwamba ana dhambi?!! Usihukumu ......... Wewe siyo Mungu!!!!
33 degrees of Freemason satanism ant Christ unataka nn ten? alafu ujue kuna dhambi za zahiri kuna dhambi za siri so Siku nyingine jiongeze mkuu
 
Hahahah....very interesting. imebidi nikumbuke hayati Iddi Amin alivyolazimisha lazima Queen aje uganda kumwomba msamaha! Dah, Iddi Amin hakumwogopa mtu yeyote....and that is the characteristics of real men!
Haha looh,naomba udadavue ilikuwaje mkuu
 
Si wezi kuishi chini ya utwala wa kike aliyetolewa ubavuni kwangu na kumkaribisha kwenye bustani yangu ya edani na kunirubuni tule tunda na matokeo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…