Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
KUWA MMBEA UTATAKIWA :
1.Uwe na habari nyingi za watu ( za kweli au uongo)
2.Ujuane na watu wengi
3.Uwe na salio la kutosha kwenye simu
4.Uwe na nguvu ya kuongea kwa muda mrefu.
5.Usiwe na hasira za haraka pale ukiwekwa mtu kati kusutwa😊
SIFA HIZO ZA MMBEA NYINGI NI SIFA ZA MFANYABIASHARA SASA KWANINI USIGEUZE BIDHAA IWE KAMA UMBEA ILI USAMBAZE KWA WATEJA😊
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
1.Uwe na habari nyingi za watu ( za kweli au uongo)
2.Ujuane na watu wengi
3.Uwe na salio la kutosha kwenye simu
4.Uwe na nguvu ya kuongea kwa muda mrefu.
5.Usiwe na hasira za haraka pale ukiwekwa mtu kati kusutwa😊
SIFA HIZO ZA MMBEA NYINGI NI SIFA ZA MFANYABIASHARA SASA KWANINI USIGEUZE BIDHAA IWE KAMA UMBEA ILI USAMBAZE KWA WATEJA😊
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako