Nguvu ya akili katika maamuzi

Nguvu ya akili katika maamuzi

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kama kuna elimu ambayo inatakiwa ifundishwe kwa sasa ni hii "nguvu ya akili ktk maamuzi".
hii ni kwasababu kuwepo kwa waathirika wengi ambao hufanya maamuzi ya hisia pasipo kushirikisha akili.

Kawaida ya hisia zikipendekezwa sana ktk kufanya maamuzi hujenga tabia tena tabia sugu!
imefikia hatua watu wanalalama na kuomba msaada ni kwa jinsi gani watashinda hisia zao..?
hapa ni kumaanisha akili imetekwa na hisia hivyo hata maamuzi anayoyafanya muathirika anayafanya kwa kufuata hisia.
hebu fikiri mtu anajua kabisa kuwa yeye kufanya kitu fulani kunaweza kuleta madhara lkn mtu yuleyule anafanya kitendo kile halafu baadae huanza kujilaumu!

Ufahamu/akili ndio control ya kila kitu ktk mwili wa mwanadamu, binafsi nijuavyo
hisia ni misisimko ambayo ipo ktk mwili.
kwa mtu anaejielewa/jitambua jambo hili la kupambana na hisia litakuwa jepesi sana kama atafanya maamuzi kwa kushirikisha mzizi wa ufahamu wake ktk kupingana na hisia mbaya.

ukiwa kama mzazi nakushauri muunde mtoto wako kufanya maamuzi ya akili.
 
Na hata mtoto akifanya kosa anatakiwa apewe adhabu ya akili sio mwili...
Hii imekaaje?
nafikiri imekaa vyema lkn unaweza kumpa adhabu ambayo utaona imekaa ktk ustahiki sio kujaza chai mpaka inamwagika..
heri kumpa adhabu ya akili kuliko mwili maana atatumia akili kufikiri hata kupata majibu hivyo kukuza ufikiriaji wake na uelewa..
sasa kwenye mwili lazima pia ukaangalia na kiasi maana kupitia adhabu uliyompa eg fimbo huweza kuibua hisia mbaya kama hasira na mtoto kufanya maamuzi mabaya kama kula wenga skani au kufanya malipizi kwa kuiba hela skani n.k
 
nafikiri imekaa vyema lkn unaweza kumpa adhabu ambayo utaona imekaa ktk ustahiki sio kujaza chai mpaka inamwagika..
heri kumpa adhabu ya akili kuliko mwili maana atatumia akili kufikiri hata kupata majibu hivyo kukuza ufikiriaji wake na uelewa..
sasa kwenye mwili lazima pia ukaangalia na kiasi maana kupitia adhabu uliyompa eg fimbo huweza kuibua hisia mbaya kama hasira na mtoto kufanya maamuzi mabaya kama kula wenga skani au kufanya malipizi kwa kuiba hela skani n.k
Hapo sawa, mfano
Tupac alipokuwa amefanya kosa mama yake alikuwa akimpa adhabu ya kusoma gazeti la Daily News...
 
Kama kuna elimu ambayo inatakiwa ifundishwe kwa sasa ni hii "nguvu ya akili ktk maamuzi".
hii ni kwasababu kuwepo kwa waathirika wengi ambao hufanya maamuzi ya hisia pasipo kushirikisha akili.

Kawaida ya hisia zikipendekezwa sana ktk kufanya maamuzi hujenga tabia tena tabia sugu!
imefikia hatua watu wanalalama na kuomba msaada ni kwa jinsi gani watashinda hisia zao..?
hapa ni kumaanisha akili imetekwa na hisia hivyo hata maamuzi anayoyafanya muathirika anayafanya kwa kufuata hisia.
hebu fikiri mtu anajua kabisa kuwa yeye kufanya kitu fulani kunaweza kuleta madhara lkn mtu yuleyule anafanya kitendo kile halafu baadae huanza kujilaumu!

Ufahamu/akili ndio control ya kila kitu ktk mwili wa mwanadamu, binafsi nijuavyo
hisia ni misisimko ambayo ipo ktk mwili.
kwa mtu anaejielewa/jitambua jambo hili la kupambana na hisia litakuwa jepesi sana kama atafanya maamuzi kwa kushirikisha mzizi wa ufahamu wake ktk kupingana na hisia mbaya.

ukiwa kama mzazi nakushauri muunde mtoto wako kufanya maamuzi ya akili.
Na sehemu nyingi ilipotushinda binadamu wengi ni kwenye hisia za NGONO.yaani hapa ni mtihani
 
mimi sijakubali kiaina....

kuna matendo mengine sio ya hiyari unayafanya tu bila kusibir akili yako ifanye maamuzi.
 
mkuu hilo linawezekana ila wakikufundisha hayo utawzidi...
kwa mtu mwenye fikra pana ni fahari bali wajinga wataona upuuzi!!
kikubwa ni kujua unatoka wapi na unaenda wapi,sikuzote anaetakiwa kwenda mbele lzm awe na fikra pana zaidi hivyo kama mzazi lzm uhakiki swala hili mwanao analimudu ili kuweza kukabiliana na changamoto za mbele
 
Ooh, hebu dondosha japo huo mfano wa adhabu inayohitaji akili nyingi
Kwasaizi mm mtoto wangu bado hajafikia hatua ya kuanza kumpa adhabu ya kiakili.
Ila naona ni kazi sana kwasababu sisi wengine wakati tunakuwa ulikuwa ukikosea kidogo tu ni stick.
 
Kwasaizi mm mtoto wangu bado hajafikia hatua ya kuanza kumpa adhabu ya kiakili.
Ila naona ni kazi sana kwasababu sisi wengine wakati tunakuwa ulikuwa ukikosea kidogo tu ni stick.
Adhabu unaweza kumnyima kitu anachokipenda, lets say anapenda mkate kwa blueband sasa siku hiyo unampa mkate mtupu bila blueband,
au unampa adhabu ya kusoma multiplication Table,
yani zipo nyingi,
Tupac alipokuwa anakosea mamaake alimpa adhabu ya kusoma gazeti la daily news.
 
Adhabu unaweza kumnyima kitu anachokipenda, lets say anapenda mkate kwa blueband sasa siku hiyo unampa mkate mtupu bila blueband,
au unampa adhabu ya kusoma multiplication Table,
yani zipo nyingi,
Tupac alipokuwa anakosea mamaake alimpa adhabu ya kusoma gazeti la daily news.
Chengine kuna baadhi ya magem unaweza kumpa mtoto ayacheze coz yanamfanya afikirie ili kuweza kulipatia so njia hii itampelekea mtoto kuwa mfikiriaji pia hutanua uwezo wake wa ufikiriaji
mfano kuna game kama sokoban na sudoku n.k
 
Chengine kuna baadhi ya magem unaweza kumpa mtoto ayacheze coz yanamfanya afikirie ili kuweza kulipatia so njia hii itampelekea mtoto kuwa mfikiriaji pia hutanua uwezo wake wa ufikiriaji
mfano kuna game kama sokoban na sudoku n.k
Aisee Hizo game za sokoban ni nyoko hahah...
 
Kuna kipindi nilikuwa naicheza basi ikanifanya nipanick mpaka nikaipiga simu chini...
😀😀😀
sokoban inahitaji uyakinifu ukitumia hisia matokeo yake ndo hayo
ni game zuri sana kuna moja nishalicheza lina stage 91 zote nilizimaliza lkn inataka moyo
 
😀😀😀
sokoban inahitaji uyakinifu ukitumia hisia matokeo yake ndo hayo
ni game zuri sana kuna moja nishalicheza lina stage 91 zote nilizimaliza lkn inataka moyo
Kwa game ya sokoban kama umewahi kumaliza zote nakupa saluti.
Kwamaana mm nikijitahidi sana nimefika level ya 7 zile game ni ngumu sana.
 
Adhabu unaweza kumnyima kitu anachokipenda, lets say anapenda mkate kwa blueband sasa siku hiyo unampa mkate mtupu bila blueband,
au unampa adhabu ya kusoma multiplication Table,
yani zipo nyingi,
Tupac alipokuwa anakosea mamaake alimpa adhabu ya kusoma gazeti la daily news.
Kweli hiyo ndio maana halisi ya kutumia nguvu ya akili hata mtoto anavyo zidi kukua anakuwa anajua kila kitu lazima utumie nguvu ya akili.

Na mtoto kila anapo fanya kosa ukimpiga nayeye anavyo kuwa anakuwa anajua kila tatizo solution ni kupigana.
 
Back
Top Bottom