Nguvu ya akili katika maamuzi

Nguvu ya akili katika maamuzi

Nimeipend
Kama kuna elimu ambayo inatakiwa ifundishwe kwa sasa ni hii "nguvu ya akili ktk maamuzi".
hii ni kwasababu kuwepo kwa waathirika wengi ambao hufanya maamuzi ya hisia pasipo kushirikisha akili.

Kawaida ya hisia zikipendekezwa sana ktk kufanya maamuzi hujenga tabia tena tabia sugu!
imefikia hatua watu wanalalama na kuomba msaada ni kwa jinsi gani watashinda hisia zao..?
hapa ni kumaanisha akili imetekwa na hisia hivyo hata maamuzi anayoyafanya muathirika anayafanya kwa kufuata hisia.
hebu fikiri mtu anajua kabisa kuwa yeye kufanya kitu fulani kunaweza kuleta madhara lkn mtu yuleyule anafanya kitendo kile halafu baadae huanza kujilaumu!

Ufahamu/akili ndio control ya kila kitu ktk mwili wa mwanadamu, binafsi nijuavyo
hisia ni misisimko ambayo ipo ktk mwili.
kwa mtu anaejielewa/jitambua jambo hili la kupambana na hisia litakuwa jepesi sana kama atafanya maamuzi kwa kushirikisha mzizi wa ufahamu wake ktk kupingana na hisia mbaya.

ukiwa kama mzazi nakushauri muunde mtoto wako kufanya maamuzi ya akili.
a hii thread naona wengi tunatumia hisia kwenye mazungumzo na mpaka kwenye maamuzi yetu hali hii inapelekea wengi tuwe na maamuzi ya upande mmoja na yasiyo sahihi(biased) angalia video hii nimefafanua from a psychological point of view
 
Kwa game ya sokoban kama umewahi kumaliza zote nakupa saluti.
Kwamaana mm nikijitahidi sana nimefika level ya 7 zile game ni ngumu sana.
Mkuu ukituliza akili vyema utaliweza ila at the sometimes unaweza hata ukachukia maana yanachanganya hayo
 
Mkuu ukituliza akili vyema utaliweza ila at the sometimes unaweza hata ukachukia maana yanachanganya hayo
Saizi huwa najitahidi kucheza game ya maze king. kwaajili kuifanyisha mazoezi akili yangu.
 
Kweli hiyo ndio maana halisi ya kutumia nguvu ya akili hata mtoto anavyo zidi kukua anakuwa anajua kila kitu lazima utumie nguvu ya akili.

Na mtoto kila anapo fanya kosa ukimpiga nayeye anavyo kuwa anakuwa anajua kila tatizo solution ni kupigana.
Umeonhea fact mkuu
 
Back
Top Bottom