Kitendo cha akina mama wa Chama cha demokrasia na maendeleo kuwa katika mstari wa mbele kupigania haki na utawala bora unaozingatia sheria na kayiba za nchi kimefikirisha wasomi, wanasiasa na wataalam wa maswala ya siasa nchini.
Tangu zamani inaaminika kuwa Ukimwelimisha mwanamke basi umefundisha Taifa zima.
Huu moto wa Bawacha ni heshima kubwa kwa viongozi wakuu wa chama na washauri wake. Tusubiri tuone fate yake.
Akina Mama Shupavu ndio nguvu ya taifa linalojielewa.
Tangu zamani inaaminika kuwa Ukimwelimisha mwanamke basi umefundisha Taifa zima.
Huu moto wa Bawacha ni heshima kubwa kwa viongozi wakuu wa chama na washauri wake. Tusubiri tuone fate yake.
Akina Mama Shupavu ndio nguvu ya taifa linalojielewa.