Ajiulize cdm imekuwepo lkn kuna walio jiapiza kuimaliza cdm lkn leo hii wote wapo kuzimu.Amepokea maelekezo asithubutu akaruhusu Chadema wakafanya lolote Dodoma otherwise cheo Cha DCP atakisikia tu
Kila siku wanasema Chadema imekufa lakini Cha ajabu mfu bado anawanyima usingizi.Ajiulize cdm imekuwepo lkn kuna walio jiapiza kuimaliza cdm lkn leo hii wote wapo kuzimu.
Hawawezi kwenda wanatikisa tu njiti waone Mama anayosema ni ya kweli?Vipi wamefika dodoma?
Chama ambayo haijafa baada ya miltarization iliyofanya na Mwendazake hakuna namna utatoweka tena. Mi nadhani waivumilie tu kuishi nayo.Kila siku wanasema Chadema imekufa lakini Cha ajabu mfu bado anawanyima usingizi.
Hivi vizee vya kijani vina matatizo makubwa Sana, viombe MUNGU visiwe hai siku yanapotokea mabadiliko ya utawala Chadema ikaingia madarakani hakuna ambaye hatachukuliwa hatua