Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Dah uzi mzuri lakini una comments za matusi mpaka nimekosa raha kabisa ya kupitia, matusi mabaya sana yanayokera..wengine tuna maisha ya tofauti matusi matusi tuliyaacha depo
 
Dah uzi mzuri lakini una comments za matusi mpaka nimekosa raha kabisa ya kupitia, matusi mabaya sana yanayokera..wengine tuna maisha ya tofauti matusi matusi tuliyaacha depo

Tuna deal na hawa hater wa forex lazmwa waielewe kwa nguvu hakuna njia ingine wataelewa The bold kaweka uzi wake mzuuri sasa wao keleleeeeee ka wameumwa na nyuki
 
Tuna deal na hawa hater wa forex lazmwa waielewe kwa nguvu hakuna njia ingine wataelewa The bold kaweka uzi wake mzuuri sasa wao keleleeeeee ka wameumwa na nyuki
dah mpka nimeimiss ile jamii forum ya 2010 kama sikosei nilikua naigopa sana coz nlikua naona watu smart sana bt now duh basi tu..nilikua naogopa hata ku signup
 
dah mpka nimeimiss ile jamii forum ya 2010 kama sikosei nilikua naigopa sana coz nlikua naona watu smart sana bt now duh basi tu..nilikua naogopa hata ku signup

Basi anza kusoma post za 2010 na kurudi nyuma uridhishe moyo wako,kama ulikua unaogopa kunsign up imekuaje ume sign in Pole sana hawa watoto tunawafundisha adab kwenye nyuz za watu zingine kama haziwahusu wapite tu sio kuja kumtukana the bold na bae wake na ujinga ujinga kibao n kero.
 
hahahaha huwa nazisoma ila ukianza kuuliz post zina miaka 7 nyuma naona udhia,...nimesign mwaka jana kuna uzi nilikua nafatilia wa general Haggai Sarakya ikanilazimu nisign ili niweze kufatilia vizuri
 
dah mpka nimeimiss ile jamii forum ya 2010 kama sikosei nilikua naigopa sana coz nlikua naona watu smart sana bt now duh basi tu..nilikua naogopa hata ku signup
Jamii forum ya 2010 kwa bahati ilikumbwa najanga kamalile Lillilo ikumbA bukoba kwa tetemeko...kisha ika R.I.P
Jamii forum iliyopo sasa nishida
 
hahahaha huwa nazisoma ila ukianza kuuliz post zina miaka 7 nyuma naona udhia,...nimesign mwaka jana kuna uzi nilikua nafatilia wa general Haggai Sarakya ikanilazimu nisign ili niweze kufatilia vizuri
Hamkuwahi kuona uzi wa Le Mutuz wa ajira za majuu?

Naye alitaka kupiga pesa za Watanzania maskini kwa gia ya agency fee dollar 300.

Kipindi hiko yupo @ New york, USA, box limedinda.
Jamii forum ya 2010 kwa bahati ilikumbwa najanga kamalile Lillilo ikumbA bukoba kwa tetemeko...kisha ika R.I.P
Jamii forum iliyopo sasa nishida
 
nyie watu wa forex mbona sioni mahali wateja wananunua hizo pesa zenu au mna trade kivipi mbona kama mnacheza na algorith ambazo wahuni wameziweka ili mpigwe pesa zenu
Hujawahi kuvuka upande wa pili wa Namanga ukabdiri Tshs to Kshs hiyo ndiyo Forex....
 
TISS imetajwa wapi? Na aliyokwambia ni secret mission ni nani? Pale jangid plaza walifika TRA mwenge,serikali ya mtaa,polisi. Is that a secret mission?
 
Hamkuwahi kuona uzi wa Le Mutuz wa ajira za majuu?

Naye alitaka kupiga pesa za Watanzania maskini kwa gia ya agency fee dollar 300.

Kipindi hiko yupo @ New york, USA, box limedinda.
hahaaa nikweli duuhhh
 
forex ninayoijua ina make sense hii ya kudownload pesa inanipa wasiwasi sio wapi mnauza pesa zenu ili wateja wanunue natarajia kusikia kuwa jana dollar ilikuwa ianuzwa kiasi fulani lakin inaonyesha mnafanya kitu tofauti kabisa
 
dah mpka nimeimiss ile jamii forum ya 2010 kama sikosei nilwere smartopa sana coz nlikua naona watu smart sana bt now duh basi tu..nilikua naogopa hata ku signup
Kumbe tulikua wengi mkuu mmi jf nmeanza kuifuatilia tangu 2007 ila nilikua naogopa ata kua na account niggers were smart back in the daysm
mpaka nilivoona vilaza wameanza na mmi ndio nikajiunga nao
 
forex ninayoijua ina make sense hii ya kudownload pesa inanipa wasiwasi sio wapi mnauza pesa zenu ili wateja wanunue natarajia kusikia kuwa jana dollar ilikuwa ianuzwa kiasi fulani lakin inaonyesha mnafanya kitu tofauti kabisa
Bos,

Nimekwambia kitu simple(sina uhakika kama nimekwambia wewe),

Do your own research on forex,

Fukua elimu kuhusu hii forex soma vitabu kuhusu hii forex,

Halafu ukishakuwa na mwanga hata kidogo tu ndo hapo wewe sasa utakuja hapa tujadili
 
Tuko pamoja THE BOLD, endelda kumwaga NONDO..[emoji122] [emoji122] [emoji115] [emoji115] [emoji39] [emoji39]
 
Usiache kunitag mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…