Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

DO YOU ARE WHAT!? Haa haaa!
Nafikiri kama unajua maana ya mawasiliano utakuwa unajua kbisa hapo kulikuwa na makosa ya kiundishi mkuu,

Kama mtu mzima kama wewe unaweza kuchukulia makosa madogo kama hayo serious basi kuna tatizo sehemu,

Kitu cha msingi unatakiwa kujadili kilichopo mezani
 
Hope atakuja akujibu ila ni kwamba japo uchumi wa uingereza ulikuwa umeyumba huku kukiwa na inflation, lakini sharti moja wapo alilolitoa uingereza ili ajiunge na ERM ni kwamba pound yake iwe si chini ya 2.7 ya DM.
Yani walikuwa hata hawazingatii demand ya soko ku set hizo rates na ndiyo maana soros aliona kuwa itafika kipindi na si muda mrefu watashindwa kupambana na nguvu ya demand and supply.
Pia kufanya hivyo kulikuwa kunatishia uchumi wa Germany.
 
Umesema vyema ..
 

Jamaa analeta ufala.
Anajifanya eti wadau walikua wanamsumbua aandike kuhusu Forex, ili tuone Jamaa mtabee kumbe Pumba tu.

waswahili hata upite chini maji watasema unawatimulia vumbi[emoji3][emoji3][emoji41][emoji41]
 
usipanic braza! one love! jf was meant to stress us free!
 
George Soros Globolist/Globalist,myahud mzaliwa wa Hungury,mwenye kuishi USA ,Founder wa taasis ya open society ni tatizo sana kwa mstakabali wa aman duniani hasa Ulaya na America.kuptia ukwasi alionao amekuwa akifadhili machafuko sehemu mbali,mfano machafuko ya Ukrein,maandamano ya marekan dhid ya Trump n.k
Russia inamtafuta,Austria imempiga marufuku kufika uko.
 
Forex Trading: How to be Successful

Knowing how to trade in Forex is simply just not enough to be successful. In this largest and the most liquid financial market in the world, you need to have more than the knowledge and skills to be successful. You need to know about the different things involved in Forex to earn huge amounts of money.

Simply knowing how to trade Forex and about the major currencies traded, like the US dollar, the Japanese Yen, and others are just the basics. Knowing when to trade and what to trade is equally essential to be successful in Forex.

Fore these you need to have a trading strategy. So, what exactly are the trading strategies involved in Forex? There are a number of money making strategies that you can use when trading in the Forex market.

If you use these strategies correctly, you will earn huge amounts of money in a very short time. Firstly, you have to realize that Forex trading is very different from stock trading. Therefore, strategies are also very different.

The first strategy that you can use to earn a lot of money in the Forex market is the leverage Forex trading strategy. In leverage Forex trading strategy, it allows you, as an investor in the Forex market, to borrow money to increase your earning potential.

SB Bushiri
 
Newbies: Forex Robots?

Forex trade is becoming more lucrative and attracting more and more people to start trading. There is about $3 trillion turnover everyday and more people are becoming interested. If you are a newcomer in this field, there are lot of things that you would hear from authorities and “so-called experts,” like using Forex robots and other automated trading strategy.

There are things that you need to know about Forex trading, as beginner.

• Not everybody in the Forex trading wins everyday. This is totally a myth. As a matter of fact, there is about 95 percent of Forex traders who lose their money everyday. Start erasing all your images that Forex trading is uncomplicated and can be done easily. Winning in Forex trading is not only about proper trading tools and equipments. It is also about trading knowledge and mindset.

• Forex trading is not only about winning. There are also losing periods. It is important to know and understand this fact, since there are some “experts” who would say that there are trading systems that would enable you to have 100% trade wins and zero loss. This is impossible!

Shepherd Bushiri
 
The bold usiache kunitag kwenye next topic tafadhari!!
 
Kwani wapi umelazimishwa boss
 
Ulisoma vitabu gani kabla hujaanza kutrade mamaa
 
Mkuu the Bold utanifanya nianze kufululiza tena kuingia humu maana nilishapunguza speed kutokana na habari uchwara za wanasiasa........shukrani kwa story Kali sana chief.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…