Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Mkuu umenikumbusha mbali kidgo, kipindi hicho chuo, International Finance was my best course ila hujasema tuku-follow au ku-subscribe wapi? af unarudi lini??
 
Nasubiri nisome "the end" ndio nitaelewa hizi historia za Mkwawa hata sielewi.
 
Haya sasa wale nye nye nye nyee forex wanasoma kimya kimya wamekaa kwa aibu baba The Bold shusha mzigo uishe kabla ya darasa la TMT halijaanza tukate kelele za wale wa upande ule kuanzisha uzi na kuponda forex bila fact.
 
Haya sasa wale nye nye nye nyee forex wanasoma kimya kimya wamekaa kwa aibu baba The Bold shusha mzigo uishe kabla ya darasa la TMT halijaanza tukate kelele za wale wa upande ule kuanzisha uzi na kuponda forex bila fact.
Mhhhhhhhh.
 
Haya sasa wale nye nye nye nyee forex wanasoma kimya kimya wamekaa kwa aibu baba The Bold shusha mzigo uishe kabla ya darasa la TMT halijaanza tukate kelele za wale wa upande ule kuanzisha uzi na kuponda forex bila fact.
Unajua kujipendekeza

Au unavizia usekretari wa pale Jangid Plaza ?
 
Haya sasa wale nye nye nye nyee forex wanasoma kimya kimya wamekaa kwa aibu baba The Bold shusha mzigo uishe kabla ya darasa la TMT halijaanza tukate kelele za wale wa upande ule kuanzisha uzi na kuponda forex bila fact.
Biashara ya matajiri hiyo, kwa maskini sisi bsdo ni utapeli
 
Naona akaunti yako ni special kwa ajili ya kutoa ushuhuda tu.
View attachment 652930
Naamini hakuna pesa bila uzalishaji mali/ huduma; kinyume cha hapo ni utapeli.
Hoja zako zote ni za kijinga tu sababu ya uelewa wako finyu..umekomaa eti hakuna pesa bila uzalishaji yaani hata usijue dunia imebadilikaje..sasa nenda kalime uzalishe,bitcoin watu wanazalisha mahindi?, Alibaba,amazon zinazalisha vifaranga? Unaambiwa this is trading lakini wewe kwa akili ndogo hujui kutofautisha trading na production unayoamini ndo inaleta utajiri... Grow up and shut ur bowl up,unatia aibu
 
Tuliambiwa nahii ni utapeli ila mdogomdogo tutaelewana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…