Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

hizo post zinazoendelea zipo wapi wakuu? nataka nizisome....naomba mnielekeze cc. THE BOLD
 
Nitaweka sehemu ya sita muda si mrefu and nitaweka link ya kila sehemunpale post # 1 mwishoni
Mkuu naomba nikuweke sawa kidogo, madam yellen sizani kama ni mkuu wa federal reserve mpaka sasa kama ulivyosema kwenye hii post ya leo. Kuna mabadiliko yalifanyika...

Alafu kuna sehem mwanzoni kabisa umesema "ilikua usiku na dunia nzima imelala",inapokua usiku huku africa basi jua kwa wenzetu ndio mchana, hatuwezi kulala wote muda mmoja....

Otherwise mada ni nzuri sana... Nnaifwatilia kwa ukaribu!!
 
Yeah chief najua kuwa Jerome Powell ndio mwenyekiti wa Federal Reserve kwa sasa. Kipindi naandika hii makala bado mabadiliko yalikuwa hatajafanyika (usione nimepost jana... imeandikwa muda tu)... nadhani mabadiliko yalifanyika November mwishoni hivi

And kuhusu kusema "dunia nzima ilikuwa imelala" anyways am sorry kama haujaelewa but hiyo ni lugha ya kiuandishi... ni sawa mwandishi unakuta anasema "....dunia nzima ilitikisika..." au "...nilipomuona jua lote liliacha kuangaza..." au "...aliiweka dunua nzima mkononi mwake lakini hakuridhika..."

Hizo ni lugha za kiuandishi ambazo naakini kama ni msomaji mzuri utakuwa umekutana nazo mara lukuki. Kwa hiyo usishangae na siku nyingine ukikuta nimeitumia tena.

Asante kwa kufuatilia. Endelea kufuatilia.


Karibu.
 
Si Angeweka tu link tusome wenyewe kisha aje na conclusions zake kuhusu hiyo biashara ya Forex

the fact is kila mtu anaouhuru wa kupost vile anavyoona inafaa, so ungeweza kupost link pia. Na si kila alichokielezea kimetoka kwenye hyo link. But kilicho muhimu hata hyo link niliyoiweka si wote wataisoma na hata wakisoma uelewa hautakuwa mzuri kama ilivyoelezewa na jamaa. Muhimu tuheshmu muda na maumivu anayopata mtu kuandaa kitu kama hicho. Na njia bora zaidi ya kuonyesha heshma ni kukaa kimya ikiwa hupendezwi na kazi yake.
 
Yaani mtu anacopy maandishi ya wengine na kuyatafsiri bila ya kuwa acknowledge then wewe unakuja hapa kunitaka nimuheshimu? Na ndio maana nikasema angeweka hiyo link tusome wenyewe na kuweka maoni yake juu ya Forex Trading...maana anachoandika kuhusu huyu bwana Geogre Soron kiko exactly kama kilivyoelezwa kwenye hiyo link neno kwa neno kasoro Lugha
 
Big up bro...
Ungekuwa karibu yangu ungeshushia na Pepsi kidogo kukata kiu[emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…