Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Yaani mtu anacopy maandishi ya wengine na kuyatafsiri bila ya kuwa acknowledge then wewe unakuja hapa kunitaka nimuheshimu? Na ndio maana nikasema angeweka hiyo link tusome wenyewe na kuweka maoni yake juu ya Forex Trading...maana anachoandika kuhusu huyu bwana Geogre Soron kiko exactly kama kilivyoelezwa kwenye hiyo link neno kwa neno kasoro Lugha
Watu bwn! Sa we ulidhani hv vitu anavitoa kichwani? Kuitafuta tu hii story ya Soros akairelate na anachotaka kutuambia kuhusu forex nacho ni kipaji, then sio kila mtu anaeelewa lugha mzee, so sio kila sehem ucomment, link ushaipata kasome piga kimya
 
the fact is kila mtu anaouhuru wa kupost vile anavyoona inafaa, so ungeweza kupost link pia. Na si kila alichokielezea kimetoka kwenye hyo link. But kilicho muhimu hata hyo link niliyoiweka si wote wataisoma na hata wakisoma uelewa hautakuwa mzuri kama ilivyoelezewa na jamaa. Muhimu tuheshmu muda na maumivu anayopata mtu kuandaa kitu kama hicho. Na njia bora zaidi ya kuonyesha heshma ni kukaa kimya ikiwa hupendezwi na kazi yake.
Plagiarism, umewahi kulisikia hili neno? Ku-acknowledge source unapo copy kazi ya mtu ni ustaarabu wa hali ya juu sana.
 
We mbona hukuweka,, binadamu bwanaaa, wivu utawaua jifunze kutoa credits binadamu hatuezi fanana jamaa yupo beyond your knowledge
Kwanini yeye hakutoa credits kwa huyo mtunzi mwenzake aliemcopy, hii ni plagiarism in every sense of the word, ku-acknowlege na kutoa credit pale unapocopy na kupaste kazi ya mtu ni wajibu.
 
TmT (ontario+cre) ni matapeli na malimbukeni wanatumia uvivu wa watanzania kutengeneza mamilioni
 
Kwa wale ambao mnasema forex ni kamari, let me tell you something guys, Kama umebahatika kusoma module inaitwa Statistics and Probabilty ukiwa katika elimu ya juu, basi kuna aina mbili za coins ambazo hutumika kufanyia experiment.
Aina hizo ni;
(1) Fair coin
(2) Weighted coin.

Tukianza na fair coin, hapa probability ya kupata head au tail ni 50%/50% ikiwa utaithrow on air

Kwa weighted coin, probability ya upande mmoja ni lazima iwe kubwa kuliko ya upande mwingine, sababu weight ya ile coin haiko evenly distributed. So you maye find P(H)=0.9 while that of tail ni P(T)=0.1 or viseversa.

Sasa basi tukija katika hizi financial markets, zenyewe zinawork under weighted coin and rules zinamfavour investor kama tu atakachokuwa anakifannya kitakuwa ni sahihi na ndio maana mtu anaweza akatrade mara 10, akawin mara 8 na kuloose mara mbili tu...

Tukija katika hizi kamari mfano kama Casinos, nazo zinawork katika weighted coin lakini the difference ni kwamba the rules are favouring the house na ndio maana kuna usemi huwa unasema "Houuse always benefit"

Natumaini nimeeleweka.
Usipoteze energy yako na haters

Kuna watu wameshaamua kuchukia(hate)
Hata leo uwafundishe na fimbo hawataelewa.
 
Sio inawezekana, Forex ni outright kamari; usilinganishe na soko la hisa ambapo watu huwekeza pesa zao kwenye kampuni ambayo inajihusisha na uzalishaji mali/ utoaji huduma mbalimbali, ambapo kwa kufanya hivyo hutengeneza faida halali na kuigawanya faida hiyo baina ya wanahisa. Kamari huwa haihusishi uzalishaji mali/ huduma yoyote ile, mfano mzuri ni Forex.
Kwa hiyo kwenye hisa ni profit tu ?
 
Kwa hiyo kwenye hisa ni profit tu ?
Biashara zote zina faida / hasara, ila zinafanya uzalishaji mali/ huduma in the process ya kupata hiyo faida / hasara; kamari haina uzalishaji mali/ huduma yeyote ile.
 
TmT (ontario+cre) ni matapeli na malimbukeni wanatumia uvivu wa watanzania kutengeneza mamilioni

hahahaha. Tunaiona hii dunia kwa namna tofauti sana. Wewe ukiona ni mavi(UCHAFU) mwingine anaona ni mbolea(PESA).
 
THE BOLD KAMA KUNA MTU ASIPOELEWA HAPA BASI KICHWA CHAKE KITAKUA KIBOVU SIO KIDOGO NASUBIRI WALE WALIOKUA WANAPIGA KELELEEEEEEE WAJE HAPA UMEANDIKA VIZURI SANA UMEELEWEKA.
ukweli mm bado sijaelewa nahitaji kueleweshwa sijui mtaji ni kiasi gani na pia unaowauzia au watu wakufanya nao biashara ni kinan yaani bado nipo gizani
 
natamani unithibitishie kivipi utapeli huu unafanyika ili wote tuamini hoja yako.
1. Training Shallow ya masaa 10.
2. Swap+Spread kubwa ukianza kutrade.
3. Kulazimisha traders watumie JP Markets (ambao TMT wanapata commission kubwa).
 
Nimejifunza mengi mkuu Bold ubarikiwe sana, sikutaka kujihusisha na biashara hii awali nilihisi ni "gambling" kwa mtazamo wa imani yangu sio kitu sahihi kufanya (gambling", lakini kwa mitazamo hiyo nadhani sio gambling, sidhani kama nakosea nikifananisha na na vikoba na uwekaji wa hisa, ushauri wangu kama kuna nafasi ya kushare hizo literature za Forex online itatufaa sana hasa sisi tuliombali na miji yenye nuru kama Dar es salaam, Mwanza, Arusha, etc
 
Back
Top Bottom