Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Mbweha wewe sasa nan kakuita uje kusoma kama katafsiri wewe unapungukiwa nin au we ndo George Soros Acha ubibi wewe punguza wivu The bold ana chama lake lina wana wengi utakufa kwa wivu shenzi kakuibia kazi yako.????
Kenge wa kiume
 
1. Training Shallow ya masaa 10.
2. Swap+Spread kubwa ukianza kutrade.
3. Kulazimisha traders watumie JP Markets (ambao TMT wanapata commission kubwa).

chief kipi hapo kinathibitisha utapeli? Kutumia hyo unayosema jp markets nao kupata commission si ndio biashara mkuu.
 
Kwanini yeye hakutoa credits kwa huyo mtunzi mwenzake aliemcopy, hii ni plagiarism in every sense of the word, ku-acknowlege na kutoa credit pale unapocopy na kupaste kazi ya mtu ni wajibu.

vitu vingine goes without saying. its obvious thing kua ametoa kwenye different sources. so long haitumiki for authentic business/academic purpose suala la pragalism silioni umuhimu wake.
 
ulipotaja tu FOREX ndipo ulipotibua...yangu macho....kuna tatizo hapa
 
Kipi sikijui, lete hoja acha kulialia
Siwezi kushindana na mtu anayepinga asichokijua .

Wewe hujui forex natena.huijui kabisa na wala hutokuja kuijua .

Sasa usijifanya kuwa wakala wa shetani mkaanga sumu .

Kitu kama hakina faida kwako achana nacho kama kimya halafu kitu chenyewe hukijui wewe una washwa na nini.

Inashangaza sana tena saana kwa mwanaume kama wewe kuwavalia kibwebwe wanaume wenzako wanaopiga pesa hahahah .

Hivi vita unavyotaka kuanzisha hutoshida na nakuhakikishia hutoshida u will loose for sure my man.

Sijui kama huwa unapata wasaa wa kujitafakari wewe kama wewe kile kinachotoka kichwani mwako kama kiko sahihi.

Au unapinga tu sababu mtu fulani amepinga .

Bro utazeeka masikini achana na mawazo mgando fungua ubongo na toa fikra za utumwa kichwani.
 
FRANCIS DA DON wewe ni mojawapo ya waTZ vimeo kuwahi kutokea JF ... Toka ile michango yako ya kindezi kwenye uzi wa kuitaka serikali kuharamisha michezo ya bahati nasibu nilikudharau sana..

Haiwezekani mtu ambaye hata hujawahi kushiriki aina fulani ya kitu kisha unakuja kushupaa shingo na kuuita utapeli, huo ni upumbavu wa kipekee..

Weka slip mezani tujadili tuone madhaifu yako kwa kampuni au wewe... Wewe kila kitu ni kupinga tu bila vithibitisho tofauti na hapo huna kingine cha maana...

Yote tisa, kumi si lazima wote waijue FX au anufaike nayo hivyo basi kama unaona ni utapeli wewe komaa na hali yako huko shambani na hakuna sheria inayomlazimisha kila mtu awe mkulima kama wewe unayetegemea mvua zianze ili uanze kilimo...

Mwisho: Kupinga pinga kila kitu utakuja jikuta unaipinga jinsia yako.
 
@mzigazi kubishana na kimeo kama FRANCIS DA DON ni kupoteza nguvu pasi kufanya kazi, na watu wa sampuli yake wamejaa hapa nchini wao kila kitu hata kama hawajui ni kubisha bisha tu...

Hawawezi kubadilika hata wakubaliwe kile wanachokibishia, kiufupi wapo kwa kuwa wanastahili kuwa hapa walipo..

Mtu kama FRANCIS DA DON hajawahi ku-trade achilia mbali ku-bet na kama aliwahi hapo kabla moja kwa moja tunamweka kwenye lile kundi la kufuata mkumbo bila kujua kuwa kuna madhara na faida. Ni mpumbavu pekee anayewaza kupata faida tu bila kuwaza kuwa % ya kukosa nayo ni sawa na ile ile ya kupata...

WaTZ bado tunasafari ndefu kwenye haya mambo na itatuchukua zaidi ya karne kuja kufika hapa wenzetu walipofika leo..
 
Hakuna hoja relevant humu, lete hoja acha kulialia na kutaka huruma ya wanajamvi..teh..teh..
 
Umeonyesha kukosa umakini kwa kiwango kikubwa, ukiweza kupost screenshot hata moja, yaan hata moja tu ambayo mimi FRANCIS DA DON nimeita/ au nimesema FOREX ni UTAPELI basi najitoa Jamiiforums na sitoonekana tena humu jamvini, Invisible tena naomba the moment anapost hiyo screenshot basi papo hapo bila maelezo yoyote nakupa ruhusa ya kudelete kabisa account yangu.
 
Sana sana mkuu
 
Inakuwaje Huyu George Soros hakuuawa ....?

Hivi mtu kwa Hali ya Kawaida Unawez kuuzorotesha uchumi wa Tanzania kwa Mfano halafu wenye mamlaka Wakakuacha Hivi hivi kweli..... The bold
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…