Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Sasa wewe hapa unafata nini?
 
Inakuwaje Huyu George Soros hakuuawa ....?

Hivi mtu kwa Hali ya Kawaida Unawez kuuzorotesha uchumi wa Tanzania kwa Mfano halafu wenye mamlaka Wakakuacha Hivi hivi kweli..... The bold
Forex is business, legal business! Soros aliona upenyo wa kutengeneza pesa kwa kutumia pound na akafaulu! Hakuvunja sheria yoyote.
 
Maana yake wewe huamini habari ya IQ au nini. Hebu dadavua maana kwa IQ level ya Francis da don huwezi kumfananisha na magenious wengine. Yeye yuko juu sana
πŸ˜€ level za nani??
embu rudia.....Genious???πŸ˜€ we jamaa ni kilaza
 
TmT (ontario+cre) ni matapeli na malimbukeni wanatumia uvivu wa watanzania kutengeneza mamilioni
Mkuu,wewe sio mzalendo kabisa.Unaacha tu Watanzania wenzako waibiwa,mpaka leo ujaenda polisi kufungua RB,ili Ontario na wenzake wakamatwe.
 
Sorry off point...yani km wabongo tungewekewa Maths km story hizi nadhani tungekua mainjinia wengi sana. Au vingekua vitabu vya maarifa vinasomwa hivi hiyo nchi ingekua na ustaarabu mwingi...binafsi mm niko default settings za real Tz allergic na story gazette
 
πŸ˜€ level za nani??
embu rudia.....Genious???πŸ˜€ we jamaa ni kilaza
eeeeee francis da don ni genious sana. amegundua mapema kuwa forex trading ni Kamari ya betting nkhii nkhii nkhiiiiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜±
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…