Hadi wewe Upepo wa Pesa ukawa unashadadia huu upuuzi? AiseeNaomba uwe unani tag kiongozi, yaani hapa nilikua nasinzia kutokana na stress ila ghafla nikakutana na huu uzi na usingizi umeisha....uwe una ni tag mkuu!!
Kwamba na wewe ulikua mjinga hiviTag me . Professor
Hadi wewe bagamoyo ukawa unashadadia upumbavu huu ... WhyThe bold,
Shukrani kwa makala zako za simulizi za kipekee ktk lugha ya Kiswahili zinazoelezea matukio muhimu ulimwenguni kama hili la "Black Wednesday".
Maana Jamiiforums inabidi liwe jukwaa linalotoa mwanga kuelewa matukio makubwa kama haya na kuelimisha pia kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Kumbe na wewe ulikuaga zuzu wa mshkaji?Ndio maana mirejesho ilipungua hapa Jf na kwenye magroup kumbe walivamiwa?
Bro, nawe ulikuaga nyumbu wa huu ushabiki?Niondolee ubwege wako
Naona ulikuaga unashabikia ujinga kishenz[emoji1] [emoji1] alishasema ali play role behind the scene mkuu
Kumbe wajinga mlikua wengiIdk wht some folks get kwa kuwa too negative. Yaan mtu hajiskii raha kama hajatia negative comments as if thread inampunguzia uzito. Najua utofauti wa mawazo ni jambo jema sana, ila sometimes utofauti usio na tija kwenye positive issues huwa unakua ni ubashite.
Bado una hamu na muendelezo wake?
Wengi mlikuaga wajinga kweli
Na wewe ulikuaga unatetea huu ujinga? Hata wewe?
Hadi wewe bagamoyo ukawa unashadadia upumbavu huu ... Why
Ujinga wangu ni nini??Kumbe wajinga mlikua wengi asee
Hadi wewe ukaingiaga mkenge aisee 😃😃Stop hating....ana wasomaji wake wa makala anazonadika na hawa huwa wanaamini ana knowledge kubwa ya mambo fulani, hao hao ndio wameona ni vizuri akiwapa chochote anachojua kuhusu FOREX.
Kwahio unaweza usiwe wewe au mimi ila wapo ambao wanapenda aseme chochote kuhusu jambo fulani.
Yaani pamoja na ujanja wako wooote, ukawa unashadadia huu upumbavu.Hii thread yake nitasoma kila episode, nimejitahidi sana kusoma kuhusu FOREX nakosa muda ila mtiririko huu nitajitahidi kusoma ila kwa mbali naona HITIMISHO LAKE.
Na wewe ukahamasika kwenye huu ujinga. Haya mliishia wapi sasa na huyo Bold wenuHivi huu ni wivu au?Kama kuna sehemu kaandika uongo mkosoe acheni tabia za kike wadau.
Jamaa liongo wewe?!Kipi kinakukereketa? Hata mim nilimwomba aandike kuhusu biashara hiyo
Cheki .. hadi wewe ukasombwa na ushabiki ndina wa huyu BoldPumba nazo zinafaida unaweza zipa hata bata zako..
Naomba link ya groupKuna madogo wengi wamekua inspired kufanya forex siku hizi. Mimi kuna mdogo wangu aliyemaliza ifm akaamua kuzama kwenye forex mpka sasa anakimbiza na Wanae na mambo sio mabaya sana View attachment 2027954View attachment 2027956View attachment 2027955View attachment 2027957View attachment 2027958