Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

The bold,
Shukrani kwa makala zako za simulizi za kipekee ktk lugha ya Kiswahili zinazoelezea matukio muhimu ulimwenguni kama hili la "Black Wednesday".

Maana Jamiiforums inabidi liwe jukwaa linalotoa mwanga kuelewa matukio makubwa kama haya na kuelimisha pia kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Hadi wewe bagamoyo ukawa unashadadia upumbavu huu ... Why
 
Idk wht some folks get kwa kuwa too negative. Yaan mtu hajiskii raha kama hajatia negative comments as if thread inampunguzia uzito. Najua utofauti wa mawazo ni jambo jema sana, ila sometimes utofauti usio na tija kwenye positive issues huwa unakua ni ubashite.
Kumbe wajinga mlikua wengi
 
Stop hating....ana wasomaji wake wa makala anazonadika na hawa huwa wanaamini ana knowledge kubwa ya mambo fulani, hao hao ndio wameona ni vizuri akiwapa chochote anachojua kuhusu FOREX.
Kwahio unaweza usiwe wewe au mimi ila wapo ambao wanapenda aseme chochote kuhusu jambo fulani.
Hadi wewe ukaingiaga mkenge aisee 😃😃
 
Hii thread yake nitasoma kila episode, nimejitahidi sana kusoma kuhusu FOREX nakosa muda ila mtiririko huu nitajitahidi kusoma ila kwa mbali naona HITIMISHO LAKE.
Yaani pamoja na ujanja wako wooote, ukawa unashadadia huu upumbavu.

Haya sasa.. tuambie hitimisho lilikuaje?
 
Back
Top Bottom