marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nkasome upuuzi wako nasubiri part 2 we f__aWallahi wewe ni Pimbi.
Comment yangu ya kwanza kui quote umekuta nimeandika nini???
Au ili quote tu kuharakisha kwenda chooni.
Kaisome tena.
Hahahaha ahaaa hebu mpe vipande vyake kwanza naona kama anatuchanganyia habari
Tatizo la mtanzania mwenzangu tangu hizi thread za forex zianzishwe wameichukulia hii biashara kama magic bullet ya utajiri kitu ambacho sio kweli. Labda kwa sababu wamekuwa wanalishwa matumaini makubwa kuwa hii ndiyo ile njia ya kuuaga umaskini. Nitaendelea kusoma huu mtiririko lakini nadhani nimeshaona mwisho wake utakuwajeNani aliyekwambia kwenye forex trading kuna neema tu?
Bofya hapo upate dozi ya uhalisia
Can Forex Trading Make You Rich?
Jamaa analeta ufala.
Anajifanya eti wadau walikua wanamsumbua aandike kuhusu Forex, ili tuone Jamaa mtabee kumbe Pumba tu.
Mkuu una muda gani tangu uifahamu FOREX?
Tatizo la mtanzania mwenzangu tangu hizi thread za forex zianzishwe wameichukulia hii biashara kama magic bullet ya utajiri kitu ambacho sio kweli. Labda kwa sababu wamekuwa wanalishwa matumaini makubwa kuwa hii ndiyo ile njia ya kuuaga umaskini. Nitaendelea kusoma huu mtiririko lakini nadhani nimeshaona mwisho wake utakuwaje
nimejitaga ili nipate mwendelezo, big up bro
We utakua punga kila kitu unataka kuvua nguo, mtoto Wa kiume VIP au si risziki, mana unacho kiongea ndo unacho kifanyaHuu ndio unafiki tunaopiga vita sasa.
Weka hapa huo ushahidi tuamini.
Bila shaka hukumpigia cm, Bali ulimuomba kwa maandishi.
Weka evidence nivue nguo zote hapa Kariakoo.
Watu kama nyie mnakua na akili kidogo kama za panzi, hakuna kitu productive umeleta zaidi ya ku-hate alichokisema mwenzako, wewe na huyo padri wako shoga mmeniudhi sana na nimewaweka rasmi katika kundi la members WAPUMBAVU.Nilichoandika na ulichojibu vinaendana?
We utakua punga kila kitu unataka kuvua nguo, mtoto Wa kiume VIP au si risziki
Zungumza shida yako nikusaidie, acha kuzunguka.
wewe na huyo padri wako shoga mmeniudhi sana na nimewaweka rasmi katika kundi la members WAPUMBAVU.
Nasubiri unichane...
Subiri, ukiona kimya elewa nakusanya evidence hapa.
Sitaki pimbi yoyote aje akutetee. Ubaki wewe kama wewe.
Huyu The bold ana nguvu sana, huku ndo kwake waandish Wa habar za kidadis in weng mno ila huyu mzeyaa mwisho, hatuwezi kuzuia alichopewa tu na MUNGU, big upo bro nakufuatilia kimya kimya
Wewe ni MPUMBAVU, mnatuaibisha wanaume wapuuzi nyie. Dume zima badala ya kuwaza na kuandika kama alivyofanya mwenzako we kazi ku-hate tu. Shoga kabisaBila shaka unalipwa mshahara kwa kazi hiyo. Keep it up.