Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Acha kuongea upupu wewe, una ushahidi gan wewe kuwa Ontorio kawakimbia raia? Fanya research uje na majibu ya uhakika sio unakurupuka na dhahania, uvivu wenu wa kuchunguza ndio maana mkiambiwa vichwa vya train vinaokotwa bandarin mnashangilia. Taifa kuwa na vijana kama nyinyi hasara sana.
 
Itaendela kila baada ta siku moja.
Yaani mfano hii sehemu ya pili nitaweka Jumatatu.
nami uwe una nitag mkuu
 
Watu kama nyie mnakua na akili kidogo kama za panzi, hakuna kitu productive umeleta zaidi ya ku-hate alichokisema mwenzako, wewe na huyo padri wako shoga mmeniudhi sana na nimewaweka rasmi katika kundi la members WAPUMBAVU.
Kwa mazuzu kama wewe mnaofanyishwa utumwa huko TRA, angalia hii video mpaka mwisho kabisa, good luck slave. Na hii video ni special kwa panya wengine wote humu; mjitazame mara mbili.
 
unawashwa washwa sio bure
 
huu ubaguzi unaofanya The bold naunda kamati maalumu ya fitna ikiongozwa na warumi ili wcb wote tukususie kutomtag wcb mwenzako ni kosa.
 
Ebu mchane bhana yaani Sipendi mijitu ya hivyo
 
Hii ndio comment ya kwanza yenye maana na mtiririko wa kimantiki with a logical basis niliyoiona humu..
 
Jamaa analeta ufala.
Anajifanya eti wadau walikua wanamsumbua aandike kuhusu Forex, ili tuone Jamaa mtabee kumbe Pumba tu.
Eti mtabe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa mbavu zangu ujue zinauma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…