Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suprised?! Mimi nilikuwa nikiona sijui DOW JONES,FTSE etc naona picha tu sielewi chochote.Oh wow!!
Ila ndo uzuri wa JF. Ni cross-section ya society ambapo kuna kila aina ya mambo.
Hii forex trading na mambo ya multi-level marketing yana makandokando mengi sana.
Tulio kwenye financial services sector, hususan kwenye back-end ndo huwa tunauona uhalisia wake.
It’s really not all that.
Suprised?! Mimi nilikuwa nikiona sijui DOW JONES,FTSE etc naona picha tu sielewi chochote.
Sijawahi, i had no clue mpaka ilivyoletwa humu.
Mkuu toka 2006 unatrade hata kusyua wana hutak ama kwel mna roho ngum had kijana wa watu kaja kusanua maraia juz kat hapa
Hivi huu ni wivu au?Kama kuna sehemu kaandika uongo mkosoe acheni tabia za kike wadau.
Hahahahaaaaaaaaaaaaa dah mkuu umenichekesha sanaAcha kupumbazwa wewe.
Ana trade wapi, mwambie adondoshe hapa recent trading history yoyote.
Akiweka nakunya hapa Kariakoo Sokoni mchana huu.
Ni tabia za kike hizo mwambie hapa umetudanganya inabidi iwe hivi au vile hapo nitakuelewa laknini sio kihivyo.Ndio maana tumemkosoa.
Au ulitaka tumkosoe kwa style gani???
Sikiliza...watu hatufanani humu
Tulishawahi kuyazungumzia humu zamani,2007 au 2008 hivi.
Ukitaka walau kujifunza ABCs zake ingia Investopedia.com
Aaaaa sasa si ndio Yale yale ya 95% are losing in forex, mimi nikajua Kuna any newNani aliyekwambia kwenye forex trading kuna neema tu?
Bofya hapo upate dozi ya uhalisia
Can Forex Trading Make You Rich?
Ni tabia za kike hizo mwambie hapa umetudanganya inabidi iwe hivi au vile hapo nitakuelewa laknini sio kihivyo.
Sikiliza wewe Nyani Ngabu
Nina uhakika 102% hujawahi Ku trade Forex.
Acha kujipa ujiko kupitia Uzi wa mwenzio.
Unabisha nikuchane zaidi???
Hahahaha ahaaa hebu mpe vipande vyake kwanza naona kama anatuchanganyia habariSikiliza wewe Nyani Ngabu
Nina uhakika 102% hujawahi Ku trade Forex.
Acha kujipa ujiko kupitia Uzi wa mwenzio.
Unabisha nikuchane zaidi???
Aaaaa sasa si ndio Yale yale ya 95% are losing in forex, mimi nikajua Kuna any new
Kipi kinakukereketa? Hata mim nilimwomba aandike kuhusu biashara hiyo
Acha Wivu wewHuu ndio unafiki tunaopiga vita sasa.
Weka hapa huo ushahidi tuamini.
Bila shaka hukumpigia cm, Bali ulimuomba kwa maandishi.
Weka evidence nivue nguo zote hapa Kariakoo.