Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Napenda vitu kama hivi vya kufikirisha na tafakuri za kibabe. Hongera the bold
 
Sijawahi kuvutika kwenye post namna hii....thanks mkuu the bold...its very insightful
 
Mbona hambishani kwa hoja kila mtu kapanic? Bishaneni kwa hoja matusi ya nini? Hamna tofauti na wanaotumia risasi
 
nyie watu wa forex mbona sioni mahali wateja wananunua hizo pesa zenu au mna trade kivipi mbona kama mnacheza na algorith ambazo wahuni wameziweka ili mpigwe pesa zenu

Mkuu dunia hii mambo yapo wazi sana siku hizi,

Fanya utafiti wako tu kuhusu forex,

Kuna vitabu na websites kibao zinaeleza hii habari,

Sasa tutakushangaa kama utashindwa ku-digest na ku-emulsify halafu unataka kuleta hoja zisizoeleweka

Sawa nenda kafungue danguro, as long as it makes money.., u don care..

Am sorry huenda wewe ni shoga
 
Wewe endelea kusubiri sadaka wacha tuendelee kucheza kamari na ndio sisis tunawanyanyasa kwenye viwanja vikubwa mnanunua fanta mnalamba lamba ila sie pesa za FX tunakunywa vitu vya ukweli. Shenz sana
Mkuu achana na mamburula..ukiangalia kwa umakini uandikaji wake tu ni wale wenye itikadi kali..eti wamezuiwa kufanya biashara ya forex kwa imani ya dini yao!(angalia neno "haramu")..Hawachelewi kulalamika kuwa wanabaguliwa kwa kila kitu..Tatizo ni elimu..Forex inahitaji kichwa..wataweza kufanya fundamental au technical analysis hao!..acha wapige porojo ..wataendelea kupiga miayo ya njaa!
 
Mkuu dunia hii mambo yapo wazi sana siku hizi,

Fanya utafiti wako tu kuhusu forex,

Kuna vitabu na websites kibao zinaeleza hii habari,

Sasa tutakushangaa kama utashindwa ku-digest na ku-emulsify halafu unataka kuleta hoja zisizoeleweka



Am sorry huenda wewe ni shoga
Kama ulivyo wewe mkuu?
 
Screenshot_2017-12-19-20-10-54.png
 
Mkuu kwani hao haters wanakuzuia nini wewe kuwa mfuasi wake? Haters wanaleta ugumu gani kwako kupokea mafundisho ya jamaa au hata wakati wa kujichotea mapesa?
nikukonda tu kimawazo kiasi kwamba kila anayeleta hoja yakutaka kuelezea upande wa pili wa hiyo forex anaonekana kuwa nihater...afadhali umemuuliza hivyo may be anaweza kurejea ktk kutumia kichwa kufikiri ..maana maneno yke nikama vile ameyapa makalio kutenda majukumu ya kichwa chake
 
Mkuu uko vizuri, nimekuelewa sana uchambuzi wako

Namkubali sana The Bold tangu ameweka bandiko mbili hapa za forex bado anazunguka tu mbuyu na mbwembwe kibao
wife wangu kapewa kitengo TMT .wadhani mimi nitafanya nini sasa .
lazima tutafute matomaso yatakayo tusaidia kupata Pesa za kuendesha kampuni...acha mimi niendelee kumwaga nondo za forex ....hahaha
 
Back
Top Bottom