Kwani we umepata chai?🤣🤣🤣 innocent dependent umeshapata chai kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we umepata chai?🤣🤣🤣 innocent dependent umeshapata chai kweli?
Pole kwa kuolewa na mwanaume pungaHaya wahi foleni pale langoni dabliusibii, lokole ameshaanz kugawa bundles kwa niaba ya mume wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa TZ acheni roho mbaya Uzi wote huu likes 9 tu?..kwiii kwi kwiiiLicha ya kutokuwa na majority share pale mjengoni, ni dhahiri kuwa Diamond Platnumz ndiye C.E.O na Managing Director (M.D)
Maulid Kitenge amenukuliwa mara kadhaa akimwita Mkurugenzi katika interview mbalimbali alizofanya pale kituoni.
Alimuweka Zuchu, Queen Darleen na hawa ntarejea katika wimbo wa Superwoman na ulifanywa chini ya prroducer wake lizer na zoom extra ambayo ni kampuni yake ilitengeneza video na yeye pia alikuwemo katika uimbaji na alihusika 100% katika utunzi pamoja na zuchu na wengi walioshiriki mle ndani ni watu wake wa karibu.
Tumeona jinsi Zuchu ambaye ni msanii wa WCB iliyo chini ya Diamond complete akitumika kakita uandaaji wa matangazo pale mjengoni.
Pia Mose Iyobo, dancer wake, amehusika katika kutengeneza matangazo.
Show zake zimekuwa zikirushwa live sawia na matukio mengine kama vile kutangaza kupata ubalozi, kutambulisha msanii mpya, kurusha vipindi vya mambo yake binafsi kama ile karatini na tour yake kwenye makao makuu ya FIFA.
Yawezekana katika 45% anazomiliki yeye kachangia jina tu pale la Wasafi na sio kwamba alishindwa kumiliki asilimia zaidi ya 50 ila mwekezaji mwingine asingeweza kumpa Diamond kauli ya mwisho wakati Diamond hana utaalam au uzoefu na masuala ya media kwa hakika angeweza kuharibu.
Maoni yangu; Kutumia hoja ya umiliki wa Wasafi Media kumponda mondi ni kipimo cha uwezo mdogo wa kuchanganua mambo ,ukosefu wa hoja na chuki binafsi
Tuache chuki wakuu, yaani media ikifeli utasikia lawama kwa Mondi ila ikifanya poa utasikia Mondi sio yake mara 'ooooh ye balozi tu pale' muachage chuki wakuu kumbuka bila Mondi hakuna Wasafi.
Proud to be Diamond Platnumz keep going hata waseme nii.
acha kukalili maisha .wote Usizani wanaishi kama wew ,acha ujinga ,maishayako ni very poor acha kujifanya unawajua maslay sana
Relax bhana kwan vepeeeeeh hii ndio jf. Naishi maisha ambayo kwangu n full burudaaaaan. Km unaumia meza wembeacha kukalili maisha .wote Usizani wanaishi kama wew ,acha ujinga ,maishayako ni very poor acha kujifanya unawajua maslay sana
Oooooh kumbe wee n mke mwenzangu, ahsante kwa kunifahamisha, maan unamjua kiundan zaidi. Uwiiiiiiiiiih poleeeeeeeh relax n then kaa kwa kutulia.Pole kwa kuolewa na mwanaume punga
Umekunya akili kisha ukaflashOooooh kumbe wee n mke mwenzangu, ahsante kwa kunifahamisha, maan unamjua kiundan zaidi. Uwiiiiiiiiiih poleeeeeeeh relax n then kaa kwa kutulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiasi chake ina ukweli ila sio woteLicha ya kutokuwa na majority share pale mjengoni, ni dhahiri kuwa Diamond Platnumz ndiye C.E.O na Managing Director (M.D)
Maulid Kitenge amenukuliwa mara kadhaa akimwita Mkurugenzi katika interview mbalimbali alizofanya pale kituoni.
Alimuweka Zuchu, Queen Darleen na hawa ntarejea katika wimbo wa Superwoman na ulifanywa chini ya prroducer wake lizer na zoom extra ambayo ni kampuni yake ilitengeneza video na yeye pia alikuwemo katika uimbaji na alihusika 100% katika utunzi pamoja na zuchu na wengi walioshiriki mle ndani ni watu wake wa karibu.
Tumeona jinsi Zuchu ambaye ni msanii wa WCB iliyo chini ya Diamond complete akitumika kakita uandaaji wa matangazo pale mjengoni.
Pia Mose Iyobo, dancer wake, amehusika katika kutengeneza matangazo.
Show zake zimekuwa zikirushwa live sawia na matukio mengine kama vile kutangaza kupata ubalozi, kutambulisha msanii mpya, kurusha vipindi vya mambo yake binafsi kama ile karatini na tour yake kwenye makao makuu ya FIFA.
Yawezekana katika 45% anazomiliki yeye kachangia jina tu pale la Wasafi na sio kwamba alishindwa kumiliki asilimia zaidi ya 50 ila mwekezaji mwingine asingeweza kumpa Diamond kauli ya mwisho wakati Diamond hana utaalam au uzoefu na masuala ya media kwa hakika angeweza kuharibu.
Maoni yangu; Kutumia hoja ya umiliki wa Wasafi Media kumponda mondi ni kipimo cha uwezo mdogo wa kuchanganua mambo ,ukosefu wa hoja na chuki binafsi
Tuache chuki wakuu, yaani media ikifeli utasikia lawama kwa Mondi ila ikifanya poa utasikia Mondi sio yake mara 'ooooh ye balozi tu pale' muachage chuki wakuu kumbuka bila Mondi hakuna Wasafi.
Proud to be Diamond Platnumz keep going hata waseme nii.
unafailRelax bhana kwan vepeeeeeh hii ndio jf. Naishi maisha ambayo kwangu n full burudaaaaan. Km unaumia meza wembe
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃Haya wahi foleni pale langoni dabliusibii, lokole ameshaanz kugawa bundles kwa niaba ya mume wake
Sent using Jamii Forums mobile app
iv unakwama wapii? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unafail
Kwamba umekunya ukaflash?
Clearly stated,,, mtendaji ni lazima uwe na professional husika but BOSS/mmiliki sio lazima awe na professional, japo akiwa nayo it's an additional advantageMleta mada, Diamond sio MD wala CEO ila ni muwekezaji mwenza ktk hio media,
hivyo kwa tafsiri nyingine ni moja ya Mkurugenzi katika bodi ya uongozi wa hio kampuni ( board of directors)
MD ni mtendaji mkuu ktk shughuli za kila siku za kampuni husika, ambaye mara nyingi anakuwa ni muajiriwa mwenye elimu, ujuzi na uzoefu ktk tasnia nzima ya habari kama vile Tido Mhando alivyo Azam Media.
Na MD anatoa reports za utendaji wake kwa hao wamiliki kina Diamond.
Hvyo Diamond ni ngumu kuwa MD kwakuwa hana sifa stahiki, pía huyu bwana tayari ana shughuli zake za muziki ambazo zinam-keep busy hvyo itamuwia vigumu kudeal with daily activities za hiyo media!!!
Hope tumeelewana!!!