kenneth Emmanuel
Member
- Jan 3, 2020
- 16
- 41
Jemedari Saidi ameupiga kelele sana mchezo wa Yanga na Namungo, akishinikiza TFF kumfungia Aucho kwa retaliation dhidi ya Ajibu.
Kwa namna ya ajabu TFF wakayafanyia kazi malalamiko ya Jemedari wakaacha kuuangalia mchezo mzima.
Max Nzengeli alifanyiwa tukio ambalo halikuadhibiwa na TFF au hata Refa kulitolea kadi lakini lile la Aucho ambalo lilitolewa kadi na refa ndio wamelifanyia kazi!
Kwa namna ya ajabu TFF wakayafanyia kazi malalamiko ya Jemedari wakaacha kuuangalia mchezo mzima.
Max Nzengeli alifanyiwa tukio ambalo halikuadhibiwa na TFF au hata Refa kulitolea kadi lakini lile la Aucho ambalo lilitolewa kadi na refa ndio wamelifanyia kazi!