Nguvu ya Maamuzi juu ya Maisha Yako ya Kitajiri hapa Duniani

Huo amekupa mfano to, sio lazima ufuge kuku, sasa kawaulize hao wenye maduka ya rejareja walianzaje, me kuna ndugu yangu alianzia mtaji wa karanga za buku jero, sasa hivi mtaji Wake ni zaidi ya million 40, na anamiliki assets nyingi tu, me hadi najiona nilienda shule kupoteza muda tu
 
Kikubwa n malengo tu. Mfano huku kitaa kuna dogo alianza kukodisha baiskel baadae akanunua nyingne tena na nyingne baadae boda boda ndio zikawa dili akauza baiskel zote akanunua bodaboda hiv tunavyoongea anaboda boda zaid ya kumi so kila jion anapokea malengo yaan ni boss. Sema shida ya wasomi watanzania ni uoga,dharau ya kaz na kupenda sana bata.
 

Kweli sayoo , tunatakiwa kuanzia chini na kupanda kidogo kidogo.
 

Nashukuru sana ommy15 . Wadau tufanye MAAMUZI sasa achana kabisa na masuala ya kufikiria mpaka uwe na mtaji wa milioni 10 eti ndio unaweza angalau ukaanza biashara, SIO KWELI HATA KIDOGO.
 
Solo la kuku liko juu , tufuge kuku. Siku hizi ukizungumzia ujasiria mali basi ni kufuga kuku.
 
Reactions: SDG
Mkuu hongera huu ndio uthubutu sasa
 
Reactions: SDG
Kwa kifupi wasomi wetu sio waoga ni wanaona AIBU ajiuliza yani tuliokuwa nao chuoni wanikute nauza mafenesi au mitego ya panya aaaaaaaah wapi bora njaa iniue hapo sio uoga ni aibu
 
The Power of Thinking Big, But Starting Small

How did Google manage to come out of nowhere? And how did it grow to reach $58 billion in annual revenues in 2013 — all in under two decades?

There are many explanations for the company’s phenomenal growth. But one technique small businesses can learn from is the ability to think big, yet take small steps. Here’s how it works.

In a post from Google’s Think Insights, Google’s former Senior Vice President of Adwords and AdSense, now Senior Vice President at YouTube, Susan Wojcicki explains. The process starts with the company’s Eight Pillars of Innovation. One of those pillars, says Wojcicki, is “think big, act small.”

This means the company may have big ambitious goals. But it starts to achieve those goals by taking small steps, one at a time.

Wojcicki writes:

“No matter how ambitious the plan, you have to roll up your sleeves and start somewhere. Google Books, which has brought the content of millions of books online, was an idea that our Founder, Larry Page, had for a long time. People thought it was too crazy even to try, but he went ahead and bought a scanner and hooked it up in his office. He began scanning pages, timed how long it took with a metronome, ran the numbers and realized it would be possible to bring the world’s books online. Today, our Book Search index contains over 10 million books.”

Can you imagine a billionaire scanning book pages? It seems an unlikely picture. But, with that kind of attitude, it’s not hard to see how Google has grown so big and so fast.

Do you have big goals in your business? Do they seem unimaginably far away and hard to obtain? Well, all you need to do is start one step at a time.

Rohit Arora, CEO and Co-Founder of Biz2Credit, tells us the key to achieving any resolution is to set small goals.

Rohit explains:

“Setting a goal of 50 percent growth in a year is noble, but it can be daunting. A smarter way is to plan smaller, more manageable and less overwhelming growth rates for each month of the year. By the time next December rolls around, the overall increase for the year may indeed be closer to the target.”

Start with where you want your business to be next month. You may be surprised at the results.

SOURCE : https://smallbiztrends.com/2014/03/think-big-act-small.html
 
Nashukuru sana ommy15 . Wadau tufanye MAAMUZI sasa achana kabisa na masuala ya kufikiria mpaka uwe na mtaji wa milioni 10 eti ndio unaweza angalau ukaanza biashara, SIO KWELI HATA KIDOGO.
Pia kuna kitu watu bado hatujui kwamba hakuna biashara inayohitaji mtaji mdogo mfano biashara ya karanga unaweza kuwekeza hata milion mia ila swal unaanzia wapi ndio hapo. Pia kuanza biashara na mtaji mkubwa sio nzuri coz kama ni biashara ya vitu vyanyumba ambavyo vinaweza kuxpire hapo unawezajikuta umejumua vitu ambavyo mwaka mzma kwenye dazan haujauza hata pisi moja lakin ukianza na mtaji mdogo utakulazimisha kujumua vitu vinavyotoka haraka hivyo kuwa na mzunguko mkubwa so siku ukipata mtaji mkubwa e.g 10 mil utajua bidhaa ambazo zntembea i.e FMCG
 
Reactions: SDG

Hapo kwenye nyekundu hapo, umenena mkuu! Biashara inawezekana tu pale utakapokuwa tayari una wazo na ukafanya MAAMUZI ya kuianza tena kwenye level ya chini kabisa.
 
Kwa kifupi wasomi wetu sio waoga ni wanaona AIBU ajiuliza yani tuliokuwa nao chuoni wanikute nauza mafenesi au mitego ya panya aaaaaaaah wapi bora njaa iniue hapo sio uoga ni aibu

Huu uwoga wetu unatupeleka pabaya mkuu. Tujitoe ufahamu kwa kipindi fulani ili tuone je maisha yatabadilika au itakuwa vile vile. Tumeishi kwa kuunga unga kwa kipindi kirefu na bado hakuna mabadiliko kihivyo basi na tufanye UAMUZI wa kufanya kwa nguvu zetu yale ambayo tumekuwa tukifikiria kuyafanya kwa ajili ya maisha bora ili tuone kama kutakuwa na utofauti au la. TUANZE SASA
 
Kwa kifupi wasomi wetu sio waoga ni wanaona AIBU ajiuliza yani tuliokuwa nao chuoni wanikute nauza mafenesi au mitego ya panya aaaaaaaah wapi bora njaa iniue hapo sio uoga ni aibu
Kuna jamaa siku alikuwa anaomba ushauri humu kuhusu mradi wake wa kuuza mboga mboga. Akatokea bwege mmoja anayeona kuvaa tai ofisini ni siafa akaanza kumponda akaanza kumwambia yaani wewe graduate mzima uuze mboga mboka akwa anaaapa kwamba akimkuta jamaa mtaani atamkana kisa anauza tu mboga mboga..Yaani kuna mtu anaona kuuza mboga mboga si hadhi yake.
 
Reactions: SDG
kwa mantiki hiyo huwezi acha kazi, na hakuna mda mwafaka wa kusema sasa nimepata vya kutosha niache hii 9-5 job, ndo maana tunasema risk taking. kingine tunachelewa sana kuanza ujarisiliamali mtu anapokuwa na majukumu yamemtinga ndo anagundua mshara hautoshi jambo ambalo unatakiwa ulijue tangu upo darasa la pili. ukishabanana we baki nakibarua mpaka mwajiri atakapokupa mkono wa kwa heri ukaanze upya life la kitaa.
 
Mkuu mi tatizo si wazo la MRADI AU AINA NA UBUNIFU WA MRADI AU ENEO LABKUUFANYIA HUO MRADI AU BIASHARA BALI NI MTAJI TUU MKUU!!!!
 
Reactions: SDG
Uthubutu ndo njia rahis ya kufika unakokutaka.Niwarakie kila la kheri vijana wenzangu wabangaizaji mtafanikiwa tu
 
Mkuu mi tatizo si wazo la MRADI AU AINA NA UBUNIFU WA MRADI AU ENEO LABKUUFANYIA HUO MRADI AU BIASHARA BALI NI MTAJI TUU MKUU!!!!

Sasa Mkuu,hebu weka wazzo lako mezani tuone kama hatutalipatia sehemu ya kuanzia...!
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…