GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mechi ile ya Nusu Fainali baina ya Simba na Yanga iliyofanyika Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma na Kujaa hadi Pomoni huku Hamasa ikiwa Juu ilitosha sana Kuwaambia TFF kuwa iwe isiwe ni lazima kwa Msimu huu Kigoma itoe Timu Ligi Kuu ili wakapige Pesa nyingi kwakuwa wanajua Waha hawana shida katika Kulipa (Kununua Tiketi) kutokana na Asili yao ya Ushamba na Upimbi mwingi tu.
Watani zangu Waha mpo? Kazi ipo!!!
Watani zangu Waha mpo? Kazi ipo!!!