Nguvu ya Make ups kwa wanawake

Hivi saluni zikipigwa marufuku sura za wanawake zitaonekanaje mfano sura ya Mfalme Zumaridi inatisha akiwa rumande bila make up
Bila picha mkuu, weka piya ya kabla na baada tulinganishe wote.
 
Samahani mkuu....
Hivi huyo king Zumaridi anatokea ama anatawala nchi gani..??
Alafu kama king anajipodoa, mbona napata mashaka na tabia zake..😶🙄
 
Hivi saluni zikipigwa marufuku sura za wanawake zitaonekanaje mfano sura ya Mfalme Zumaridi inatisha akiwa rumande bila make up
Ndio kaanza kuwanonyesha uwezo wake sasa ana undergo transformation.
 
Tumuone basi wengine tunamsikia tu huyo Tapeli mwenye picha yake uso ukiwa umemsawajika tafadhali
 
Bila kuweka puti wanawake wa dar ni zaidi ya wa vijijini
 
Aiseeeee!! Kwa make-up hizi tunapigwa sana.
Kijijini au wale wadada/wanawake wasiohangaika na make-up ndio wazuri hasa. Muda wote huwa wanapendeza. Hawa wa mawigi ya Kihindi ni shida tupu.

Asubuhi ukionana naye bila make- up anatisha na unaweza piga chini mzigo.

Unakuta ana rangi 3 au 4 za soda mwilini, yaani pepsi, fanta orange, supaleta, mirinda,stoney tangawizi n.k. kwa sababu ya kuweka puti kwenye miili yao.

Hawajui kuwa hizo puti zina madhara mwilini au?

Dada/mama zetu tunaomba mjiamini. Mungu hakukosea katika uumbaji wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…