matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Hii injili ni ya zamani tangu edeni mkuu.Jehovah na mwanae Yesu wako mdomo wazi! Hii ndio Injili siku hizi, nani ana pesa?!
Injili ni uweza.Jehovah na mwanae Yesu wako mdomo wazi! Hii ndio Injili siku hizi, nani ana pesa?!
Umaarufu wa watumishi wa Mungu huwa hautegemei utajiri ulioko kwenye mifuko yao, bali karama ya kiroho waliyokirimiwa na Bwana katika kuifanya kazi yake.Ukiteka vyombo vya habari umeteka dunia.
TB Joshua (hayati) alikuwa amkaribii kwa chochote Mzee Oyadepo.
Oyadepo ndio mchungaji Tajiri kuliko wote ulimwengini.
Amehamasisha watu wengi kuwa matajiri duniani. Ukisoma kitabu cha Oyadepo ukaja ukisoma cha TB ni sawa na kula Mua na kisha ukaletewa menyu ya miwa iliyotafunwa na kutolewa utamu.
Ndio Muafrika wa kwanza kuwa na makanisa hadi ulaya. Ukraine alikuwa na kanisa kubwa lenye waumini wazungu kibao wakati TB anaarika wazungu SCOAN na kuwapa coverage kubwa.
TB alikuwa bingwa wa kuaminisha kwa kutumia media. Hata alipofungiwa na serikali akafanya mchongo wa kuhamia kwenye Satellite broadcast hapo ndipo alipoteka soko kote duniani hasa Africa huku wanigeria wenzake wakibaki local.
Somo : Kuna nguvu katika Media, Ukiwa na kitu chako lakini hujitangazi utabaki kuonekana duni licha ya kuwa na uwezo mkubwa.
SOMO: Oyadepo na yeye anafundisha watu tufocus katika matokeo sio maneno. Oyadepo anamengi ya kufundisha kuliko.
Note: Oyadepo ndio mmiliki wa makanisa ya Winners.
Mnaomfahamu zaidi mtujuze na mambo ya kujifunza kutoka kwao ukiacha figisu zao visonzoni mwa sadaka.
mungu who, mungu which .....Umepotea kuwalinganisha watu wa Mungu kwa vingezo vya materials things na worldly possessions
Angalia their impact in the lives of people , soul winning, how many lives they have touched and changing spiritually..
Sent from my SM-G965F using JamiiForums mobile app