Nguvu ya Media: Aliyepaswa kuwa maarufu ni OYADEPO sio TB Joshua

Jehovah na mwanae Yesu wako mdomo wazi! Hii ndio Injili siku hizi, nani ana pesa?!
Hii injili ni ya zamani tangu edeni mkuu.
Umesahau Jehovah aliwawekea hadi dhahabu bustanini. Yawezekana hawa wakuu wao waliamua kuanza kula maisha bora kabla ya Yale yaliyohaidiwa
 
Jehovah na mwanae Yesu wako mdomo wazi! Hii ndio Injili siku hizi, nani ana pesa?!
Injili ni uweza.
Hata kumiliki mapesa unahitaji uweza.
Wanaonyesha mfano mzuri, kuwa fedha ni za Mungu mwenye uweza na wao watoto wake wanamiliki kwa uweza huohuo wakosahihi mkuu.

Tuwajadili tu.
Ukristo sio umasikini na kuishiwa.
 
Umaarufu wa watumishi wa Mungu huwa hautegemei utajiri ulioko kwenye mifuko yao, bali karama ya kiroho waliyokirimiwa na Bwana katika kuifanya kazi yake.

Mfano mzuri hapa kwetu nchini Tanzania, Mwalimu Mwakasege ndiyo mtumishi wa Mungu maarufu karibia kuzidi watumishi wote Afrika Mashariki, lakini sina uhakika kama ndiye mtumishi wa Mungu anayeongoza kwa utajiri kwa watumishi wote wa Mungu walioko Afrika Mashariki
 
mungu who, mungu which .....
 
Winner's ni moja ya makanisa yanayoendeshwa kisomi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…