Nguvu ya Media huru na wanahabari wanaojielewa

komora096

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
20,548
Reaction score
5,647
Wakenya ni watu wenye roho nzuri sana ukitoa mambo mengine ya hapa na pale yanayoletwa na nguvu za siasa.

Wananchi wenye uwezo wao kenya huaga wanataka sana kusaidia watu wa tabaka la chini lkn tatizo channel zilizowekwa na serekali yetu pendwa kuna majitu yamejikalia kufuja hzo hela hadi kuwatia roho mbaya watu walioko na niya kusaidia.

Inabidi sasa wanahabari wetu sana sana wanatumika kama channel ya kuwapata watu wa chini ili angalau wasaidike kupitia na documetary zao.

Mama aliyewapikia mawe wanawe sai anafurahia maisha kutokana na wasamaria wema.

 
Kenya ipi hiyo? 😂😂😂😂

Hii?
Aliibiwa pesa na mtoto wake alikufa
 
Huyu ni afisa wa polisi akiwa kashikwa na maafisa wenzake kenya kwa kosa la kutovaa barakoa.

Utu na kujitambua kwa mtu unapimwa kwa mambo mengi sio misaada mbele ya camera.View attachment 1646353

 
You have to be an idiot to think a third world country can lack these kinds of stories, especially an LDC country like Tanzania that has so many poor people it exports beggars to neighboring countries.
LOL hatuna huu umasikini kama wenu wa kuchemsha mawe na kufa njaa mpaka hayo yote yatokee
 
LOL hatuna huu umasikini kama wenu wa kuchemsha mawe na kufa njaa mpaka hayo yote yatokee View attachment 1646368
Kawaida yako ni utoto. Nimekwambia hakuna nchi third world isiyo na shida kama hizi, the difference is who chooses to report and who doesnt. Kanchi kenu kenyewe maskini hadi muna maskini wengi ombaomba huku kwetu alafu uniambie huko hakuna maskini? Ambia mwenye hajawai tembea Tanzania.
 
If you experienced them why didn't you report them?

As a permanent resident I can confirm they are not existing.
 
Kenya ipi hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii?
Aliibiwa pesa na mtoto wake alikufa
Aliibiwa pesa na wakati kajengewa nyumba[emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea journalist wa kenya wewe
 
Thank you for sharing this story. It shows how much Kenyans care about helping the poor. Wakenya tuna roho ya kusaidia.
Mi pia nawashukuru sana wote waliomsaidia pamoja na waliozisimamia hzo hela na kuamua kumjengea nyumba.

Manake wangelimpa hzo hela huwezi jua angelizifanyaje.
 
komora096, kwani Tz kuna wanahabari, au ni vikaragosi flani tu hivi na njaa zao? Nilijua hamna kitu hapo tangu nilipowaona wakikanyagana kisa hela ambazo walikuwa wanatupiwa kwa dharau na msanii. Tena hela zenyewe zilikuwa eti ni noti kadhaa za elfu kumi kumi, hela za madafu Tzshs. Kwa ufupi yaani Kshs 430 bob. [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…