Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #61
Niliepuka kufanya hivyo kwa sababu kuu mbiliHii ungeiunganisha hapo juu kwenye Uzi ungekuwa poa sana!
Naomba kuongeza
Mithali 10;4
Afanyaye mambo kwa mkono mlegevu huwa masikini, Bali mkono wake aliye na bidii humtajirisha
1. Mada kuwa ndefu sana... Wengi hapa wanatumia simu hivyo hupata shida na uvivu mada ikiwa ndefu sana
2. Kuepesha mada kuhamishiwa jukwaa la dini... Kwakuwa maudhui yake yangeonekana ni ya kidini
Jr[emoji769]