Nguvu ya mikono yako kwenye mustakabali wako...

Hii ungeiunganisha hapo juu kwenye Uzi ungekuwa poa sana!
Naomba kuongeza
Mithali 10;4
Afanyaye mambo kwa mkono mlegevu huwa masikini, Bali mkono wake aliye na bidii humtajirisha
Niliepuka kufanya hivyo kwa sababu kuu mbili
1. Mada kuwa ndefu sana... Wengi hapa wanatumia simu hivyo hupata shida na uvivu mada ikiwa ndefu sana
2. Kuepesha mada kuhamishiwa jukwaa la dini... Kwakuwa maudhui yake yangeonekana ni ya kidini

Jr[emoji769]
 
👊👊👊👊👊
 
Ni somo zuri sana mkuu mshana ila mimi nawaza kwamba mengi ya haya uliyoyazungumza yalifanya kazi zaidi wakati wa agano la kale.
Simaanishi kwamba hayafanyi kazi kwa sasa. Ninachomaanisha ni kwamba baada ya dhabihu ya damu ya mwana kondoo wa Mungu yaani Kristo Yesu kila mdhambi aliyeungama na kuzitubia dhambi zake kupitia hii damu , amesamehewa. Kibinafsi Ameondolewa kwenye wekundu wa uovu wake na kutakaswa kabisa akiachwa mweupe kama theluji.
Hakuna tena laana juu yake iwe ya mababu, ukoo, kizazi au vyovyote vile.
Jambo jingine ambalo ninaweza kulitizama na kuweka msingi ni kwamba mteule wa Bwana ni toka misingi ya ulimwengu. Mwana wa Mungu hawi mwana kwa kuokoka pale anapomkiri kristo bali ni mwana toka kabla inayopelekea kwake huyo kuukiri wokovu kwa wakati wake.
Nb: mtoto wa mungu hatendi dhambi!!!
Na aliitiae jina la Bwana huuacha kabisa uovu.
 
Jifunze sana kuitumia kutoa kuliko kupokea.... Kwakuwa ni kwa kutoa ndio tunapokea.
teh..teh...teh.....hapa kama ushanunua turubai mbili vile umeanzisha kanisa na msisitizo wako ni kutoa tujenge kanisa!
 
asante sana ujumbe mnzuri
 
umenipa kazi ya kufanya usiku nitarudia kwa tafakari ya kina
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji115][emoji115][emoji123][emoji120]
 
Asante sana kaka Mshana kwa Zawadi hii..
Umetukumbusha kitu kikubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…