Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho


Kha sasa mkuu mwanaume ushindwe kujiamini wewe lawama ukamtupie mwanamke
 
Hapa nilittaka kuwasha kamoja, naona mkuyenge umelala baada ya kusoma Uzi huu[emoji16][emoji16][emoji16]

Baadaye ulete njia ya kuacha Basi kiongozi. Huenda ukatusaidia waathirika wa kupanda mnazi.
[emoji2][emoji2][emoji2]..... Oa mkuuu
 
Kuna ubaya Gani mtu kujishika sehemu zake kwa starehe zake binafsi?, Kati ya madhara ya Punyeto na uzinzi yepi yana Unafuu?
Kuliko mtu kuhatarisha Afya yake na future yake kwenye uzinzi, mi naona Bora kujishika aisee.. it's fun and less expensive!!
Hakuna dhambi ndogo mkuu
 
Kwahiyo mwanamke asiishi maisha yake kwa sababu tu wewe utashindwa kujiamini eti
Kama mwanamke angeyaishi maisha yake ndugu yangu hii mada isingekuwepo.
Mwanamke ndie chanzo cha uharibifu wa mwanaume.
Wewe unadhani ninani anaependa kujichua kama anauwezo wakuoata kitakacho replace hili hitaji lake. Uliwahi kusikia hata mara moja mambo haya ya kijichua kwa wazee wetu hapo kale? Ni kwa sababu mwanamke alikua akiyaishi maisha yake ya uhalisi.
 
Hakuna dhambi ndogo mkuu

Ni kweli kabisa, Ila kulingana kwake hakumaanishi zote Zina matokeo ya kufanana.. we chakata Papuchi na mwenzio apige nyeto then mkutane Hospital ndo utaelewa nn nnamaanisha..
 

Khaaaa hebu soma tena ulichoandika mkuu! Uko serious kweli?

Kwani ni wanaume wangapi wamewafuata hao wanawake mnaosema wanajiamini na wamewapata? Wewe kama ni domo zege hilo ni juu yako msitake wanawake wawakubali kwa kuwaonea huruma na wakati mkikubaliwa hata hamnaga shukurani!
 

Kuna uzi nimeelezea sana kuhusu haya mambo ya sex, nakushauri udome huko tujadili. Hapa ni kama mwendelezo tu

Link tafadhali
 
Ivi nyeto imekua maarufu kwa kizazi hiki na kipindi chetu tuuu.
Ama kwa sababu sisi tupo kwenye umri wa kufanya mapenzi (sexual active) ndo maana tunaskia sana na kupata habari za nyeto na madhara yake.

Nafikilia hivi hawa wazee wetu wao hawakua wakipiga nyeto katika umri wao wa kufanya mapenzi, ukizingatia zamani maadili kwa vijana yalikua juu sana ko kupata dem ilikua kwa mbinde sana kulinganisha na sasa ambapo kuna hadi kula tunda ki masikhara. Na mademu kibao wamekua cheap.

Isije kufika wakati na sisi tukasahau hizi mambo za punyenga kwa sababu ya umri na kuchoka. watoto wetu ndo wakawa active, alafu wakawa wanasifia kizazi chetu hakikua na haya mambo ya pull.
 
Imeongezeka kwelikweli katika nyakati zetu.
 

Kwamba wimbi la upigaji nyeto limeongezeka kwa kiwango kibubwa nyakati hizi kuliko vizazi vya nyuma.

Mawazo yangu; hatuna ushuhuda tuu wa vizazivilivyopita kuhusu mienendo yao kwenye hili janga, ukizingatia ni kitendo cha siri, ambacho sio kila mtu anaweza kueleza hadharani kwamba kizazi chetu miaka ya arobaini kabla ya uhuru tulikua tunapiga sana nyeto.

Cha msingi: tuombee vizazi vyetu visiingie kwenye janga hili.
 
kwa maoni yangu na mtazamo wangu vijana wengi wa kiume wameangukia kupiga punyeto kwa sababu ya wanawake kuwazidi uwezo kwa namna yoyote ile.
katika hali ya kawaida nyakati tulizo nazo tunawea kusema kupata mwanamke wa kusex nae imekuwa rahisi sa labda kwa mchangowa teknologia, lakini ukweli ni kwamba kuna wanaume wengi sana haswa vijna wanashindwa kupata nafasi hio kwa sababu nyingi ikiwemo hio ya udomo zege.

lakini pia swala la kujichua si kwa wanaume pekee bali na wanawake pia.
vipi kuhusu wanafunzi?
vipi kuhusu watawa?
 
Watawa ndio akina nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…