Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nilivyokuuliza unayaongea haya “from the mouth of which river” nilimaanisha vyanzo vyako vya maarifa ni vipi au reference yako ni wapi, hii itatupa frame work ya mjadala wetu tuache kujadili kama walevi wa mnazi huyu anarefer huku, huyu ana refer kule katika vyanzo vinavyopinga, mjadala hautaisha.
Pili, hujajibu swali langu hata moja zaidi umeniongezea maswali, uungwana ni vitendo ngoja mimi nikujibu kama ifuatavyo na nikutake uende ukasome tena na tena kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya maarifa ili uondoke kwenye narrow thinking ya kwamba SEX SAVES REPRODUCTION PURPOSE ONLY ukirefer kuhusu wanyama, kwamba wanafanya only kwenye heat kwanza si kweli na sijajua hayo umeyatolea wapi, si kweli sababu wataalamu wanapingana na wewe, au basi utuambie wewe ni mtaalamu mpya na utupe machapisho yako hata katika summary tu.

Well, kwasababu hatuwezi kumuuliza mnyama kama anapata pleasure wakati wasex, watafiti wametumia njia tofauti za kitafiti kulithibitisha hilo kwa kustudy tabia za wanyama na kuzifananisha na zile za Mwanadamu awapo kwenye sex. Study zimefanywa kwa wanyama mbalimbali mfano, primates mbalimbali (hapa walimtumia Bonobo) pia cats, dolphin etc

moja, wameeleza juu ya wanyama kupata orgasm kwa kutafsiri vitendo vinavyotokea wakati wa sex kama vile kuvimba/kutuna kwa misuli (kwa madume) vocalization na change of facial expression, tabia ambazo hata binafamu huzionesha anapopata orgasm, and we all know that orgasm huambatana na pleasure.

Pili, Wanyama wameonekana wakifanya sex “out of the breeding season” mfano wakati wa preginacy, nikuulize ndugu mjumbe sex wakati wa mimba ina save which purpose kama sio starehe tu, is it also for procreation?

Pia, tafiti zimewabamba wanyama wakifanya sex between mature na immature individuals, sio hivyo tu pia sex between both immature individuals, ingekuwa huku kwenye ubinadamu tungesema underage hehe, hii haiwezi kuwa for reproduction.

Sijazungumzia na sijataka kuzungumzia tafiti zilizofanywa juu ya Wanyama kufanya oral sex, same sex, group sex kwasababu sijawahi kuwa interested kujifunza kuhusu hili. Itoshe tu kusema let us dig-in tujifunze tena na tena sababu wenzetu wamefanyia tafiti za kutosha na wametoa machapisho kadha wa kadha.
Unajua sana kujenga hoja na kuzitetea kiasi kwamba umenishawishi kabisa kusoma maelezo yako yote...

Niseme tu yote uliyoyaandika yana mashiko na uzuri umetupa mifano sio fikirishi ama nadharia bali ile inayoonekana wazi..
Back to the topic....Mtoa mada ametoa maoni lakini ni wazi hajatupa alternative ambayo ingesimama na kutoa jibu la wazi lisilo na shaka,Tunapojenga hoja yatupasa tusiwe Bias yapasa tushauri na tuliongelee jambo na kugusa hasara na faida na kuzipima ufanisi wake....
 
Unajua sana kujenga hoja na kuzitetea kiasi kwamba umenishawishi kabisa kusoma maelezo yako yote...

Niseme tu yote uliyoyaandika yana mashiko na uzuri umetupa mifano sio fikirishi ama nadharia bali ile inayoonekana wazi..
Back to the topic....Mtoa mada ametoa maoni lakini ni wazi hajatupa alternative ambayo ingesimama na kutoa jibu la wazi lisilo na shaka,Tunapojenga hoja yatupasa tusiwe Bias yapasa tushauri na tuliongelee jambo na kugusa hasara na faida na kuzipima ufanisi wake....

Wow, thank you! Tulikuwa tunajaribu kusisimua mjadala, tunatakiwa kujifunza kueleza facts ambapo hapa tulitakiwa kuzisema biological facts zilizotafitiwa na wenzetu sababu sisi hatufanyi tafiti na hatuchapishi maandiko.

Ajabu utaambiwa unatetea sababu unafanya.
 
Wow, thank you! Tulikuwa tunajaribu kusisimua mjadala, tunatakiwa kujifunza kueleza facts ambapo hapa tulitakiwa kuzisema biological facts zilizotafitiwa na wenzetu sababu sisi hatufanyi tafiti na hatuchapishi maandiko.

Ajabu utaambiwa unatetea sababu unafanya.
Hahah nimekuelewa sana,
Si ajabu sasa nikaanza kufuatilia post zako.
 
kwa maoni yangu na mtazamo wangu vijana wengi wa kiume wameangukia kupiga punyeto kwa sababu ya wanawake kuwazidi uwezo kwa namna yoyote ile.
katika hali ya kawaida nyakati tulizo nazo tunawea kusema kupata mwanamke wa kusex nae imekuwa rahisi sa labda kwa mchangowa teknologia, lakini ukweli ni kwamba kuna wanaume wengi sana haswa vijna wanashindwa kupata nafasi hio kwa sababu nyingi ikiwemo hio ya udomo zege.

lakini pia swala la kujichua si kwa wanaume pekee bali na wanawake pia.
vipi kuhusu wanafunzi?
vipi kuhusu watawa?

Sasa ndiyo mjilaumu wenyewe kwa udomo zege wenu na kushindwa kutafuta hizo pesa ili muweze kuwapata hao wanawake! Msimtupie lawama mtu yeyote na wala msitake eti muonewe huruma kutimiziwa haja zenu bila kufanya juhudi zozote!
 
Kwamba wimbi la upigaji nyeto limeongezeka kwa kiwango kibubwa nyakati hizi kuliko vizazi vya nyuma.

Mawazo yangu; hatuna ushuhuda tuu wa vizazivilivyopita kuhusu mienendo yao kwenye hili janga, ukizingatia ni kitendo cha siri, ambacho sio kila mtu anaweza kueleza hadharani kwamba kizazi chetu miaka ya arobaini kabla ya uhuru tulikua tunapiga sana nyeto.

Cha msingi: tuombee vizazi vyetu visiingie kwenye janga hili.
Nimekusoma, lakini tofauti yetu na vizazi vilivyotangulia ni teknolojia. Leo hii vitu kama picha za ngono, miziki ya nusu uchi, filamu zinazochochea ngono, aina yabkujiremna na uvaaji wa kina dada nk yote haya yanaongeza mihemko ya kingono. Kizazi chetu kilo juu mno mkuu
 
Nimekusoma, lakini tofauti yetu na vizazi vilivyotangulia ni teknolojia. Leo hii vitu kama picha za ngono, miziki ya nusu uchi, filamu zinazochochea ngono, aina yabkujiremna na uvaaji wa kina dada nk yote haya yanaongeza mihemko ya kingono. Kizazi chetu kilo juu mno mkuu
Uko sahihi sana,teknolojia imechangika sana kuongeza kasi...
 
Hili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:

Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?

Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?

#Uwazinaukweli
Pigeni nyeto vijana ndoa zenyewe za kuingia una miaka 35 hadi 40 unategemea nini?
Mwishowe ubake watu buree!!
 
Nyeto NO
Sex before marriage NO

Unatengenezea watu bomu wewe!

how can these young people survive!.,? setback ya mafanikio maishani sio 'nyeto

nashauri watumie condoms, balance self pleasure

mambo ya kiroho Mungu anarekebisha muda wowote
 
Sijakubishia brother sema nawaza kwa sauti Hapa " Unawakataza watu nyeto ili wafanye Zinaa ama?
Wape njia mbadala Basi itakayo walinda wao kimwili, kijinsia, na kiroho as you said...."

Imagine una Mwanao ambae Yuko kwenye foolish age, ametawaliwa na vichocheo vya Mwili na Anabadirisha wenzi kila siku, ukiuliza why anakujibu loudly and clear Kwamba hamu ya Mwili ndo inafanya afanye hivyo, utamuombea? Utamtafutia Mchumba aolewe au aoe na umri Bado? Sio kila kitu mpaka muwe mnakaririshwa.. siajabu unajifanya mlokole Hapa Ila in real life Ni mchafu kuzidi hata mm.. Magonjwa yameshakuwa mengi, kujizuia sio Jambo la rahisi kwa ulimwengu huu unaoenda Kasi.. tunapoteza Vijana wengi Mapema kwa sababu ya watu kama nyie.. Wape Vijana njia mbadala yakujiridhisha kuliko kuwafanya wajione wenye hatia kwa kufanya kitu Cha kawaida tu Kama kujikuna au kujisaidia haja
Thank you tatizo watu wanafki sana!

ngja ashauri watu wafuge hizo hamu mwishowe wabake watu waone kama Mungu atawatoa gerezani,
 
Nilivyokuuliza unayaongea haya “from the mouth of which river” nilimaanisha vyanzo vyako vya maarifa ni vipi au reference yako ni wapi, hii itatupa frame work ya mjadala wetu tuache kujadili kama walevi wa mnazi huyu anarefer huku, huyu ana refer kule katika vyanzo vinavyopinga, mjadala hautaisha.
Pili, hujajibu swali langu hata moja zaidi umeniongezea maswali, uungwana ni vitendo ngoja mimi nikujibu kama ifuatavyo na nikutake uende ukasome tena na tena kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya maarifa ili uondoke kwenye narrow thinking ya kwamba SEX SAVES REPRODUCTION PURPOSE ONLY ukirefer kuhusu wanyama, kwamba wanafanya only kwenye heat kwanza si kweli na sijajua hayo umeyatolea wapi, si kweli sababu wataalamu wanapingana na wewe, au basi utuambie wewe ni mtaalamu mpya na utupe machapisho yako hata katika summary tu.

Well, kwasababu hatuwezi kumuuliza mnyama kama anapata pleasure wakati wasex, watafiti wametumia njia tofauti za kitafiti kulithibitisha hilo kwa kustudy tabia za wanyama na kuzifananisha na zile za Mwanadamu awapo kwenye sex. Study zimefanywa kwa wanyama mbalimbali mfano, primates mbalimbali (hapa walimtumia Bonobo) pia cats, dolphin etc

moja, wameeleza juu ya wanyama kupata orgasm kwa kutafsiri vitendo vinavyotokea wakati wa sex kama vile kuvimba/kutuna kwa misuli (kwa madume) vocalization na change of facial expression, tabia ambazo hata binafamu huzionesha anapopata orgasm, and we all know that orgasm huambatana na pleasure.

Pili, Wanyama wameonekana wakifanya sex “out of the breeding season” mfano wakati wa preginacy, nikuulize ndugu mjumbe sex wakati wa mimba ina save which purpose kama sio starehe tu, is it also for procreation?

Pia, tafiti zimewabamba wanyama wakifanya sex between mature na immature individuals, sio hivyo tu pia sex between both immature individuals, ingekuwa huku kwenye ubinadamu tungesema underage hehe, hii haiwezi kuwa for reproduction.

Sijazungumzia na sijataka kuzungumzia tafiti zilizofanywa juu ya Wanyama kufanya oral sex, same sex, group sex kwasababu sijawahi kuwa interested kujifunza kuhusu hili. Itoshe tu kusema let us dig-in tujifunze tena na tena sababu wenzetu wamefanyia tafiti za kutosha na wametoa machapisho kadha wa kadha.
Ila wewe nae ni kichwa
Interesting!
 
Mkuu umeongea mambo mazito sana, nashukuru wewe ni mwamini Mungu. Nitakujibu hapa:

Mjadala upo na wataalamu wa afya wamepishana sana juu ya hili. Unajua sababu? Kuna nguvu inayoleta confusion kati yao. Ni sawa na habari za ushoga, wako wanaosema hauna madhara, wengine wanasema una madhara!! So tuseme nini??

Lakini kwa suala la wewe kujiona uko sawa, ni kwamba hata wanaotoa watoto kama kafara za kupata mali hujiona wako sawa, anayefuga majini naye atakuambia mbona yananipa mali? Nilisema unapofanya tendo hilo hayo mapepo yanavuna nguvu zako, hivyo utafanya mambo yako pale utakapopatana nayo. Ndio maana wapo wanaosex na majini mahaba na wapo kwenye ndoa zao, huku wengine yakiwazuia hata kuoa na kuharibu mimba. Kikubwa ni kwamba upo kifungoni na IKO SIKU utakumbuka hili.

Jiulize, iweje wewe una mke halafu uwe na hamu ya kujichua? Unaona ni jambo la kawaida? Pia hao watoto wenu waweke vema mbele za Mungu, kwani watakuja kuwa wadau wakubwa pia. Hilo ni agano na mapepo ambalo wewe unaliimarisha kila unapojichua, nao watakuja kuliendeleza hivyo hivyo, labda wawe katika Kristo.

Halafu kuna suala la wewe kutamba una fellowship huku unapiga punyeto. Mbona watu wanazini na wanakwenda makanisani? Siku ukijua kuwa mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu utaacha kumpigia punyeto huyo Roho. Imekubidi kushughulikia hicho kifungo, kwani kimekuua kiroho nawe umetiwa upofu. Usisubiri mpaka mambo yaharibike ndipo uvchukue hatua.

Ukisema hakuna madhara jua kuwa unapotea, usingoje mpaka yakukute. Tembea mijini leo hii, habari za vumbi la kongo nk, pia vijiwe vya kutibu nguvu za kiume vimejaa mno. Ukienda watakuambia SABABU YA PUNYETO. Mbona haya mambo yapo wazi? Wanawake wa leo wanadai hawaridhishwi, sababu wanaume wanapiga punyeto na wao wanajochua, hivyo emotions zimehama!!

Mkuu huu uzi wako utawaokoa watu wengi nikiwemo na mimi nishabadilika kwa dhati.
Wapo wataobadilika wataosema na wengine hawatosema.
Kweli humweka Mtu huru Mungu akubariki kwa hili [emoji120]
 
Mkuu huu uzi wako utawaokoa watu wengi nikiwemo na mimi nishabadilika kwa dhati.
Wapo wataobadilika wataosema na wengine hawatosema.
Kweli humweka Mtu huru Mungu akubariki kwa hili [emoji120]
Amina kaka. Nimefurahi sana kusikia wako wanaoguswa na kubadili mfumo wa maisha. Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu uishinde hiyo nguvu ya upotevu unaki katika nuru yake, amina.
 
Kweli Punyeto ni laana na si dhambi tu
Reference to me..
Kila nikamaliza najutia na kujiona Mtu nisiefaa kwa lolote yaan Mtupu pure mtupuu kabisa
Lakini pia kila nikifanya punyeto nikimaliza najiona kabisa nimeondosha nguvu zangu yaan nakua kama zombie zombie tu sijielewi, majuto mengi sana moyoni na hata ukiwa mbele ya watu unajihisi kama u mtupu hata kama huna aibu ila internally you feel as you are naked.
Ila ukiacha kujichua hata mwezi, kwanza kwa sisi waumini hata ukiomba kwa Mungu unaona Moyo wako una Amani na Sala yako imefika kabisa ila sasa jichue alafu uombe yaan unajiona kama unatimiza tu wajibu bila matokeo yeyote
Ukiacha kwa Mda unaona mwili unarudi safi kabisa na nguvu za mwili na rohoni unakua nazo yaan full Amani. Kujichua huwezi kua na Afya bora Daima.
Mwisho Mtu anaejichua yeyote hata mwili wake hauna Nuru,uwe na hela uwe huna hela, ule mboga saba au moja huwezi kua na nuru. Ni mtupu rohoni na mwilini hata kama utajiona una kila kitu na kweli baraka za Mungu haziwezi kua juu yako hata kama utapata kama unavyohisi ni baraka bado huwezi kudum na vikidum huwezi kua na furaha navyo yaan lazima misukosuko ikuandame.
Shukrani kaka.
 
Kweli Punyeto ni laana na si dhambi tu
Reference to me..
Kila nikamaliza najutia na kujiona Mtu nisiefaa kwa lolote yaan Mtupu pure mtupuu kabisa
Lakini pia kila nikifanya punyeto nikimaliza najiona kabisa nimeondosha nguvu zangu yaan nakua kama zombie zombie tu sijielewi, majuto mengi sana moyoni na hata ukiwa mbele ya watu unajihisi kama u mtupu hata kama huna aibu ila internally you feel as you are naked.
Ila ukiacha kujichua hata mwezi, kwanza kwa sisi waumini hata ukiomba kwa Mungu unaona Moyo wako una Amani na Sala yako imefika kabisa ila sasa jichue alafu uombe yaan unajiona kama unatimiza tu wajibu bila matokeo yeyote
Ukiacha kwa Mda unaona mwili unarudi safi kabisa na nguvu za mwili na rohoni unakua nazo yaan full Amani. Kujichua huwezi kua na Afya bora Daima.
Mwisho Mtu anaejichua yeyote hata mwili wake hauna Nuru,uwe na hela uwe huna hela, ule mboga saba au moja huwezi kua na nuru. Ni mtupu rohoni na mwilini hata kama utajiona una kila kitu na kweli baraka za Mungu haziwezi kua juu yako hata kama utapata kama unavyohisi ni baraka bado huwezi kudum na vikidum huwezi kua na furaha navyo yaan lazima misukosuko ikuandame.
Shukrani kaka.
Nakubaliana nawe kabisa
 
Nacheka tu jinsi binadamu anavoamua kujipunish kwa jina la dini.
Anaambiwa akiwaza sex dhambi,akisex kabla ya ndoa dhambi,akijichua dhambi,haendi mbinguni kabisa kwa hamu yake ya kimwili ambayo ni natural!!
Na hao ndipo kuuona ufalme wa mbinguni unapokuwa mgumu kama jiwe
 
Back
Top Bottom