NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

We msukuma na kiswahili wapi na wapi....kiswahili waachie watu wa pwani bwana...yani kwanza hakikuhusu kabisa...

Kwanza katika kiswahili unafikiria unaweza kuta neno la kisukuma hata moja..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwann yasiwepo??!!!
 
Hapo hapana,,tukubali tusikubali,,,tutake tusitake,,uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko wetu Tanzania,,wewe angalia tuu bajeti yao ya mwaka linganisha na yetu jiulize kwa nini ni kubwa hivyo
Asa kwann hafanyi miradi kwa pesa yake anakopa???
Kwann wamekwama ktk kuajiri for 3 consecutive years kisa serikali haina hela???
Huo uchumi mkubwa uko wapi ???
 
Ngangari
 
Wavivu! Mngekuja kutafuta chakula huku? Nyiye ndio wajinga. Unafuta dawa za kienyeji bongo. Kwa chopper porini. Kiswahili my frnd likutokea Zanzibar na ukumbe Mombasa ni sehemu ya Zanzibar ilitawaliwa na warabu wa Zenji. Ndipo mkapata Kiswahili. Soma historian ya Kiswahili vizuri.
 
Kutembelea KENYA. Kwanza maliza ukabila. Mjenge barabara zenu. Kote siyo mjini tu. Na kazkazini mwa Kenya. Kusini mwa Kenya nako NI shida. No Nairobi na Mombasa na kisumu kwa mbaliiii. Ebu njoo TZ kuazia Nairobi Hadi songea Kigoma sumbawanga Kama utakanyaga vumbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…