NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

Na hao wasukuma unaowazungumzia TZ tuna makabira zaidi ya 121 sio kama huko kwenu Nchi nzima vikabila viwili tu ndio maana ukabira unakua kama timu ya mpira kila mtu anashangilia upande wake, sasa bac ktk kabira hizo 121 zingine zinaishi kwa ufugaji kwahiyo maisha yao sana wanaishi porini zinafuata sana mila toka utoto wanaongea kilugha tu ndio maana hawaongei kiswahili kizuri na sio Wasukuma tu kuna na wamang'ati kama hujui wamasai kwahiyo ukimuona msukuma anaongea kiswahili hakieleweki bc huyo ujue alikua mchunga mifugo maporini lakini sio wasukuma wote hawajui kiswahili hapana kwanza mjini Kahamahumo kote wamejaa wasukuma wanaongea vizuri tu iwezi kushindanisha na kiswahili cha Nairobi, kama ulikua hujui bac ndo hivyo .
Ukabira = Ukabila

Halafu unapanua hilo libakuli lako na kelele mnavyoijua kiswahili fasaha[emoji86][emoji86][emoji86][emoji85].
Kalb wahed!
 
Tanzania huwezi sikia vitu kama hivyo kwa sababu kila mtu ana haki ya kumiliki shamba na kulima mazao yake,
Sio huko kwenu mashamba yenye rutuba yanamilikiwa na watu wachache huku wakilima mazao yasiyo faa kwa chakula.
Tulitoka agrarian age tukaingia indurstrial age, my man I am sad unafikiria kuhusu ukulima. More productive done in large scale
 
Nikupe siri kwa nini pwani ya Kenya wanaongea kiswahili kizuri ?.kwasababu kuna muingiliano mkubwa na watu wa tanga na Zanzibar hivi ujiulizi kwa nini Kenya kiswahili kizuri kinapatikana Mombasa na sio Nairobi ambalo ndio jiji kuu lakini TANZANIA utakipata kiswahili kizuri Nchi nzima kuanzia DSM . ukitumia akili utajua ukwel
Mombasa wanazungumza kimvita my friend, wamekuwa wakiongea kiswahili ata kabla ya Tanzania iwe inchi. They were part of the swahili nation. They dont speak swa coz of Tanzanians, they speak swa coz thats what they have been using for hundreds of years. Na hakuna lugha nzuri ama mbaya. Language evolves
 
Wewe bibi ebu jibu swali mnakwama wapi?yan kwa mfano hatq kiswahili ulichotolea povu hapa ni cha ki Tanzania pure,sio kile cha kikenya,mnakwama wapiiii?
Haya mganga wa darisalama. Mbona nikiitisha mitihani yenu ya kiswahili huwa hamleti?Ina maana mnaogopa watu wasione msivyojua kutofautisha r na l ,th na s ,na dh na z.
Kwa taarifa yako kiswahili kinafundishwa kama somo kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Sisi ndio tunapenda kuzungumza kiswahili kibovu
 
Ushakula?
Haya mganga wa darisalama. Mbona nikiitisha mitihani yenu ya kiswahili huwa hamleti?Ina maana mnaogopa watu wasione msivyojua kutofautisha r na l ,th na s ,na dh na z.
Kwa taarifa yako kiswahili kinafundishwa kama somo kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Sisi ndio tunapenda kuzungumza kiswahili kibovu
[/QUOTushakula?
 
Hivi wewe unajitambua au unapiga kelele tu?, sasa bajeti kubwa ina maana gani kama hata uwezo wa kuwanunulia chakula watu wake hawawezi wanategemea chakula cha msaada?. Kama hawawezi kujenga hata kilometer moja ya reli, mchina alivyokaa kutoa pesa, reli imeishia porini, kama hawawezi kulipa Madeni ya nyuma?. Unajua tofauti ya bajeti na mapato?, huwezi kujisifia matumizi makubwa yadiyoendana na mapato yako.
Mimi najitambua sana,,Kenya kushindwa kujenga reli au kushindwa kujitegemea kwa chakula siyo kigezo cha uchumi wa Tanzania kuwa mkubwa kuliko wa Kenya,labda ungesema uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi kuliko wa Kenya kwa sasa ingekuwa sawa.(Sijui umri wako ila 1966;1KSh=1TSh leo 1KSh ni zaidi ya 20TShs why???)
 
Kenya wana kashfa ya kuongeza chumvi Pesa yao kwa asilimia 30,
Alafu uchumi haupimwi kwa thamani ya pesa wewe.
Mimi najitambua sana,,Kenya kushindwa kujenga reli au kushindwa kujitegemea kwa chakula siyo kigezo cha uchumi wa Tanzania kuwa mkubwa kuliko wa Kenya,labda ungesema uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi kuliko wa Kenya kwa sasa ingekuwa sawa.(Sijui umri wako ila 1966;1KSh=1TSh leo 1KSh ni zaidi ya 20TShs why???)
 
Chakula ulichotuma hakijafika.Nina wasiwasi uliyemtuma amenyang'anywa na tumbili akivuka mpaka. Itabidi nilale njaa sasa [emoji24][emoji24][emoji24]
Du tumbili sini wakenya monkey kwahiyo mkenya kapola chakula
 
Mimi najitambua sana,,Kenya kushindwa kujenga reli au kushindwa kujitegemea kwa chakula siyo kigezo cha uchumi wa Tanzania kuwa mkubwa kuliko wa Kenya,labda ungesema uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi kuliko wa Kenya kwa sasa ingekuwa sawa.(Sijui umri wako ila 1966;1KSh=1TSh leo 1KSh ni zaidi ya 20TShs why???)
Unajua kunatofautu na thamani ya pesa na uchumi imara Mimi nachokiona Kenya pesa yake ina thamani kuliko Tanzania lakini haina uchumi imara
 
Nashindwa kuelewa hivi Tanzania ni nani hapa afrika mashariki au Tanzania ndio iliteuliwa kuwa kiongozi wa huu ukanda
Licha ya kuwa Kenya inaizidi Tanzania uchumi ila bado Kenya inaisikiliza Tanzania
Twende na mifano

1.Kenya kubadili lugha yake ya taifa na kukifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa ambacho kiswahili ni lugha inayotokana na mchanganyiko wa makabila ya kibongo

2.Tukio la majuzi hapo kenya Jaguar kusema atawafurusha raia wote wasio wakenya kutoka kenya kwanini kenya ilijibu kwa Tanzania na sio kwa nchi zote ambazo raia wake na wao wanaishi kenya na kwanini jaguar baadae alikana kuwa hakuwalenga watanzania na wakati ile clip amewataja watanzania

3.Tukio la Tanzania kuchoma vifaranga vya Kenya na hatujawahi kusikia kenya ikilipiza au kutoa kauli yoyote ya kukemea au kuitaka Tanzania iombe radhi

4.kwanini wakenya wengi wanapenda kujua nini kinaendelea Tanzania kuliko watanzania wanao fuatilia habari za kenya

5.Kwanini bila sauti ya Tanzania kwenye EA mambo hayaendi sawa wakati ipo kenya yenye uchumi mkubwa inayoweza kucover kila kitu kwenye jumuia

6.kwanini trending za Tanzania zinavuma mpaka kenya na pote zinakuwa No1 lakini trending za kenya zinaishia huko huko

7.Kwanini mkenya hawezi kuyataja mambo mazuri ya kenya bila kutaja tanzania kwa comparison yoyote

8.Kwanini misemo mingi ya mtaani inayotokea tanzania utaikuta na kenya wameisha dakia ila misemo ya kenya huwezi kuikuta tanzania

Dah nisiwachoshe niishie hapo ila kunamengi mtajazilizia ikiwemo bomba la mafuta la uganda kuhama njia kutoka nchi tajiri na mengine mengi au ndo mkataba waliwekeana viongozi wetu wa zamani akina nyerere au ndugu zetu wanakwama wapi
Wacha uchonganishi jamaa,Kwanini munataka kuharibu amani iliyopo..?Tanzania na Kenya ni ndugu na majirani haswa tunatakiwa tudumishe amani na kuondoa kasoro na tofauti zote,tusiibue nyuzi kama hizi zinazochochea hasira upande mmoja.OMBA MUNGU AMANI ITAWALE,VURUGU ZISIKIE HUKO S.A NA NIGERIA.Lakini pia nawao tuwaombee
 
Unajua kunatofautu na thamani ya pesa na uchumi imara Mimi nachokiona Kenya pesa yake ina thamani kuliko Tanzania lakini haina uchumi imara
Huo ni uelewa wako,ila nchi ikiwa na uchumi imara na pesa yake inakuwa imara haipotezi thamani yake kiholela
 
aliyekwambia kiswahili kinatokana na makabila ya bongo nani? kiswahili asili yake ni pwani ya afrika mashariki kuanzia kenya hadi sofala msumbiji, hivyo kiswahili pia kenya ni nyumbani, tena mombasa na wakenya wasomi wanazungumza kiswahili kizuri kuliko sisi
Mmmh huwenda hujasoma chimbuko la kiswahili.
Kiswahili kimechagizwa kwa asilimia kubwa takriban 56% kibantu cha hapa Tz.
32% kiarabu na asilimia zilizobakia ndio lugha zingine za mabeberu .
Uchagizaji wa ukuaji wa kiswahili kwa mwambao wa pwani ni kutokana na ukaaji wa waarabu ambao walichagiza kuingizwa maneno mengi ktk lugha ya kiswahili.
Hao watu wa pwani wote uwaonao wamechagiza ukuaji wa kiswahili kwa kutohoa maneno ya kiarabu.
Ila kiswahili haswa ni kibantu chumvi,jembe n.k n.k yote maneno ya kibantu.
 
Back
Top Bottom