NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

Punguza jazba mjomba...uchawi lazime muache..mwenzako akiendelea una mroga...maisha gani hayo...mpka ma star..yani nilicheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi wale wajaluo wanaouliwa na Jubilee kila uchaguzi, na wakenya wanaochinjwa na Alshabaab, nyama zao mbawapelekea Turkana kupooza njaa?
 
Kwn hyo miradi ilikua ni ya kuzalisha chakula na kugawia watu bure...vyakula vitele madukani...so kila mtu na uwezo wake aliyemjalia Mungu....so km hutaki kujilimia...piga kazi upate hela au hta wauze mifugo
Ni uzembe wa serikali yenu, rushwa, ufisadi na ukabila,
Kwann hawajaanzisha miradi ya umwagiliaji,
Ile miradi mikubwa ya umwagiliaji ilienda wapi? Bla bla tu hapa.
Una njaa ndio maana uwezo wa kufikiri unapungua daily.
 
Sio tatizo lako, ukabila ndio unakusumbua.
Kwn hyo miradi ilikua ni ya kuzalisha chakula na kugawia watu bure...vyakula vitele madukani...so kila mtu na uwezo wake aliyemjalia Mungu....so km hutaki kujilimia...piga kazi upate hela au hta wauze mifugo
 
Huyu MK254 kipindi anajiunga Jamiiforums alikuwa hajui Kiswahili. Alikuwa anabangaiza bangaiza tu na sarufi yake yenye matege.

Tumempiga twisheni ya Kiswahili humu. Japo bado anababaika na sarufi lakini anajitahidi.

Alikuwa mbulula back in the day!
 
Punguza jazba mjomba...uchawi lazime muache..mwenzako akiendelea una mroga...maisha gani hayo...mpka ma star..yani nilicheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anza kuwakanya nyumbani kwanza harafu ndo uje kwa majirani
Screenshot_20190826-073208.jpeg
 
Kwhyo we watakaje...walazimishwe walime?
Ama unataka serikali iwalishe sio?
Kemu toa mawazo..manake km ni biashara hawataki..na hta km njaa inwauma hawafikirii hta kuuza mifugo hata pia kuchinja wale nyama..kazi yao ni kununua mabunduki tu...
Sio tatizo lako, ukabila ndio unakusumbua.
 
Basi msiwe mnapokea ile misaada ya chakula kutoka UAE na China.
Kwhyo we watakaje...walazimishwe walime?
Ama unataka serikali iwalishe sio?
Kemu toa mawazo..manake km ni biashara hawataki..na hta km njaa inwauma hawafikirii hta kuuza mifugo hata pia kuchinja wale nyama..kazi yao ni kununua mabunduki tu...
 
Not to sound ignorant, but you are suffering from delusions of grandeur, unless i check now,
i don't know what is the trending news in TZ
i don't know how your presidents wife or children look like
i don't know how your Deputy pres looks like or his name
i don't know your biggest media house
I don't know your biggest banks or Telecom company
i don't know the name of any minister or even identify any in a picture..


Not because they are not important but TZ news is very scarce in our media houses here... we got to know about Magu because of his radical policies or things like burning chicken ,...after that nope.. very very few Kenyans know about TZ or what is happening there on a daily basis.

Things i know, the TZ SGR, dictatorial Magu and his intolerant policies against the media or opposition politicians,

But several kenyans who are keen on development issues across EA are very interested in what is happening in Rwanda,
many Kenyans who want to tour EA want to visit Uganda or Rwanda.,, in the last 5 years i have not heard anyone who wants to visit TZ for holiday, maybe on some specific business or work assignment..
 
Kwanini misemo mingi ya mtaani inayotokea tanzania utaikuta na kenya wameisha dakia ila misemo ya kenya huwezi kuikuta tanzania
nipe mfano...
Najua msemo wa kikenya kwa streets za Tz, kupiga ngeta
 
aliyekwambia kiswahili kinatokana na makabila ya bongo nani? kiswahili asili yake ni pwani ya afrika mashariki kuanzia kenya hadi sofala msumbiji, hivyo kiswahili pia kenya ni nyumbani, tena mombasa na wakenya wasomi wanazungumza kiswahili kizuri kuliko sisi
Najua waTz wanakipenda Kiswahili but utapata mskuma akisema kiswahili ni lugha ya Tz si ya kenya yet pwani kenya kuna waswahili wenyewe. Their L1 language
 
Ni uzembe wa serikali yenu, rushwa, ufisadi na ukabila,
Kwann hawajaanzisha miradi ya umwagiliaji,
Ile miradi mikubwa ya umwagiliaji ilienda wapi? Bla bla tu hapa.
Una njaa ndio maana uwezo wa kufikiri unapungua daily.
Unaongea as if Tanzania is a developed world where non of that exists?
 
Kenya ina mtihani mzito sana na majirani zao wanao share mpaka, wasomali...

Lazima wawe na mahusiano mema na Tanzania ili siku wakikungutwa na Somalia tunawahifadhi...

Kama vile uonavyo tunavyolea wakimbizi toka Rwanda, Burundi na kwingineko...


Cc: mahondaw
 
4.kwanini wakenya wengi wanapenda kujua nini kinaendelea Tanzania kuliko watanzania wanao fuatilia habari za kenya
Itakuwa umetoka kwa ngariba kutiwa sunna asubuhi ya leo wewe deecarter
Wanasiasa wenu hatuwajui ilhali nyie mnajua hadi mawaziri wa Kenya. Mna makamu wa rais kweli? Mke na watoto wa magufuli hawajulikani, pengine wanamuziki wenu pekee hususan WCB members
Ushapata mgao wako wa mahindi?
 
Tanzania huwezi sikia vitu kama hivyo kwa sababu kila mtu ana haki ya kumiliki shamba na kulima mazao yake,
Sio huko kwenu mashamba yenye rutuba yanamilikiwa na watu wachache huku wakilima mazao yasiyo faa kwa chakula.
Unaongea as if Tanzania is a developed world where non of that exists?
 
Back
Top Bottom