NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

Lini ccm iliwanunulia chakula kule kwenu usukumani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ya serikali ni kuhakikisha kila mtu anao uwezo wa kupata chakula, ni aibu kusikia kila mwaka mnapewa chakula cha msaada, kwanini serikali yenu inapokea hicho chakula, kwanini wasiseme sio jukumu la serikali kuwapatia watu chakula?. Mnatutia aibu kwa kufa kwa njaa kila mwaka, na kusaidiwa chakula.
 
aliyekwambia kiswahili kinatokana na makabila ya bongo nani? kiswahili asili yake ni pwani ya afrika mashariki kuanzia kenya hadi sofala msumbiji, hivyo kiswahili pia kenya ni nyumbani, tena mombasa na wakenya wasomi wanazungumza kiswahili kizuri kuliko sisi

Usiseme Sisi, sema mimi.
 
Tanzania Ni Baba wa East Afrika Kenya Mke Mkubwa,Unganda Mke Mdogo,Burundi Na Rwanda Watoto Wetu
[emoji2] [emoji3] [emoji1] inabidi tukazane, tuongeza watoto. Zanzibar ni nje ya ndoa.
 
Mda ndio utasema...manake nyinyi kw uchawi tu...mpka ma star wanarogana...itakuja kw uchaguzi

Wale night runners ni gospel preachers??
Unasema Kenya hamnaga wachawi, una akili kweli wewe!!?
 
Ndio maana tukikohoa mnaitika,
Tukigoma kuwauzia mahindi mnakuja huku mmepiga magoti.

Nyie maskini hamna jeuri hiyo, ni kwamba mara nyingi huwa hamna mahindi ya kutosha, hivyo inawalazimu msiuze maana mkiuza watu wenu wanaishia kula viwavi.
 
Vipi wale wajaluo wanaouliwa na Jubilee kila uchaguzi, na wakenya wanaochinjwa na Alshabaab, nyama zao mbawapelekea Turkana kupooza njaa?
 
Nashindwa kuelewa hivi Tanzania ni nani hapa afrika mashariki au Tanzania ndio iliteuliwa kuwa kiongozi wa huu ukanda
Licha ya kuwa Kenya inaizidi Tanzania uchumi ila bado Kenya inaisikiliza Tanzania
Twende na mifano

1.Kenya kubadili lugha yake ya taifa na kukifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa ambacho kiswahili ni lugha inayotokana na mchanganyiko wa makabila ya kibongo

2.Tukio la majuzi hapo kenya Jaguar kusema atawafurusha raia wote wasio wakenya kutoka kenya kwanini kenya ilijibu kwa Tanzania na sio kwa nchi zote ambazo raia wake na wao wanaishi kenya na kwanini jaguar baadae alikana kuwa hakuwalenga watanzania na wakati ile clip amewataja watanzania

3.Tukio la Tanzania kuchoma vifaranga vya Kenya na hatujawahi kusikia kenya ikilipiza au kutoa kauli yoyote ya kukemea au kuitaka Tanzania iombe radhi

4.kwanini wakenya wengi wanapenda kujua nini kinaendelea Tanzania kuliko watanzania wanao fuatilia habari za kenya

5.Kwanini bila sauti ya Tanzania kwenye EA mambo hayaendi sawa wakati ipo kenya yenye uchumi mkubwa inayoweza kucover kila kitu kwenye jumuia

6.kwanini trending za Tanzania zinavuma mpaka kenya na pote zinakuwa No1 lakini trending za kenya zinaishia huko huko

7.Kwanini mkenya hawezi kuyataja mambo mazuri ya kenya bila kutaja tanzania kwa comparison yoyote

8.Kwanini misemo mingi ya mtaani inayotokea tanzania utaikuta na kenya wameisha dakia ila misemo ya kenya huwezi kuikuta tanzania

Dah nisiwachoshe niishie hapo ila kunamengi mtajazilizia ikiwemo bomba la mafuta la uganda kuhama njia kutoka nchi tajiri na mengine mengi au ndo mkataba waliwekeana viongozi wetu wa zamani akina nyerere au ndugu zetu wanakwama wapi
Unajiingiza kidole m*takoni na kucheka mwenyewe. Wacha kujisifu, ngoja usifiwe
 
Hata kenya pia kuna uchawi hata mabwana zenu wazungu pia wana uchawi,
Endelea kusubiri, wacha nikuignoo tu.
Wasikusumbue hao mbu mbu mbu ,Kenya hamna wachawi na hiyo nchi gani au duniani kuna Kenya mbili?.
Screenshot_20190826-073208.jpeg
 
Lini serikali yetu haikupeleka misaada turkana?
Ama ilkua wataka wataka wakawalazimishe kw lazima wawe wakulima...
Misaada tutapokea mpka ile siku mtakataa kupokea mgao wa bajeti yenu
Kazi ya serikali ni kuhakikisha kila mtu anao uwezo wa kupata chakula, ni aibu kusikia kila mwaka mnapewa chakula cha msaada, kwanini serikali yenu inapokea hicho chakula, kwanini wasiseme sio jukumu la serikali kuwapatia watu chakula?. Mnatutia aibu kwa kufa kwa njaa kila mwaka, na kusaidiwa chakula.
 
Back
Top Bottom