Uchaguzi 2020 "Nguvu ya umma" itaamua uchaguzi huru na haki mwaka huu

Nani kakuambia nakusemea? Mimi nazungumzia uhalisia wa kisiasa Chadema ni matapeli wa kisiasa. Kama Ccm ni mafisadi ingefanya maendeleo makubwa kama haya! Au unaleta hoja za hisia tu? Waliohama Chadema waliunga juhudi kwa dhamira zao wenyewe baada ya kumkubali JPM na Ccm.
 
Upinzani nchii hii mathalan CHADEMA hawana nia ya dhati ya kutwaa madaraka kwenye nafasi yoyote ya Uongozi hasa nafasi ya Urais wa nchii hii , Period.. Wanachofanya ni kubweka tu kama m.bw.a koko asiye na meno ! Kazi kulia lia tu.


USHAURI ulioutoa hapo juu huwezi kuona wakiufuata hata chembe
 
Upinzani wangekua wanafanya utafiti kabla ya uchaguzi wangeshayajua matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
 
Mnyika anawaanda nyumbu kisaikolojia tu
Hayo maneno sio mapya,huyo mbunge hata akitangazwa na nguvu ya umma ataingia bunge gani bila ya kupewa cheti na mkurugenzi?
Wameshagundua hawapati hata jimbo moja,wanaanda watu kufanya fujo
 
Upinzani nchii hii mathalan CHADEMA hawana nia ya dhati ya kutwaa madaraka kwenye nafasi yoyote ya Uongozi hasa nafasi ya Urais wa nchii hii , Period.. Wanachofanya ni kubweka tu kama m.bw.a koko asiye na meno ! Kazi kulia lia tu.
Mkuu, ulikuwepo pale Kinondoni alipouliwa Binti Akwilina?

Sawa, shukrani zako nyingi kama ulichangia kuwatoa viongozi wa CHADEMA gerezani Segerea.

Samahani sana, kama hukunielewa hapa.
 
CDM msikimbilie kuwa na maamuzi kama hayo, huu ni uamuzi mgumu ambao mnapaswa kuufanya hatua kwa hatua, ili nguvu ya umma iwe ni "the last resort" kwa ushirika wa vyama vyote vya upinzani. Kwepeni kuwa nyie ndiyo wenye "ownership of civil violance" kwa kuwa mtakabiliana na maovu mengi kutoka kwa watesi wenu.
 
mara paaaaaap, kama Malawi upinzani kidedea.
 

Basi sawa.
 
Mkuu, ulikuwepo pale Kinondoni alipouliwa Binti Akwilina?

Sawa, shukrani zako nyingi kama ulichangia kuwatoa viongozi wa CHADEMA gerezani Segerea.

Samahani sana, kama hukunielewa hapa.
mkuu naona unajaribu kuingiza mada mpya. hivi kwa mazingira ya kisiasa ya Sasa nchini kweli Upinzani wanajitapa kwenda kushinda Uchaguzi? Bila Tume huru ya Uchaguzi kweli???
 
Tume huru vipi tena au ndo nguvu ya umma!
 
mkuu naona unajaribu kuingiza mada mpya. hivi kwa mazingira ya kisiasa ya Sasa nchini kweli Upinzani wanajitapa kwenda kushinda Uchaguzi? Bila Tume huru ya Uchaguzi kweli???
Kuna kutoelewana.

Hapa hujanielewa kabisa nilichoandika.

Nashangaa pia kwa kueleza mambo ya "kushinda uchaguzi bila ya tume..." kwa sababu sijaelezea jambo hilo katika hiyo mistari niliyoweka hapo na wewe kuijibu kivyako.
 
Huu ni wito wa ugaidi na jihad laanatullah ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ˆ๐Ÿ‘บ๐Ÿ‘บ chadomo ni kundi la kigaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ