Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nani kakuambia nakusemea? Mimi nazungumzia uhalisia wa kisiasa Chadema ni matapeli wa kisiasa. Kama Ccm ni mafisadi ingefanya maendeleo makubwa kama haya! Au unaleta hoja za hisia tu? Waliohama Chadema waliunga juhudi kwa dhamira zao wenyewe baada ya kumkubali JPM na Ccm.Wewe Mataga nani aliyekupa mamlaka ya kutusemea sisi Watanzania? Kwani nyinyi Ccm mna faida gani kwenye nchi hii zaidi tu ya kuendekeza vitendo vya rushwa, ufisadi, upendeleo, wizi wa mali za umma, kununua wanasiasa uchwara kwa kodi zetu na kujilimbikizia mali?
Sijui kama umesikia nilivyoshusha pumzi baada ya kukusoma hapa!
Failure wa nini au kwenye niniMnyika ni failure, sijui kwanini hata waliamua kumpa Ukatibu mkuu.
Upinzani nchii hii mathalan CHADEMA hawana nia ya dhati ya kutwaa madaraka kwenye nafasi yoyote ya Uongozi hasa nafasi ya Urais wa nchii hii , Period.. Wanachofanya ni kubweka tu kama m.bw.a koko asiye na meno ! Kazi kulia lia tu.Sina tatizo na kuitisha nguvu ya umma, naona cdm kama chama hamshiki hoja na kuimalizia. Kabla ya baa la Corona na kuzuiliwa mikusanyiko, ilikuwa kuna vuguvugu la kudai tume huru ya uchaguzi, na hoja ya kwanza ambayo tungeanza nayo baada ya kusema kutakuwa na mikutano, ni hiyo ya kudai tume huru.
Lakini baada ya bunge kuvunjwa naona kama hoja ya kudai tume huru ya uchaguzi imekufa midomoni mwenu, na sasa mnaongelea nguvu ya umma. Kwa tafsiri ya haraka ya ccm na vyombo vya dola, nguvu ya umma ni uvunjifu wa amani. Mimi nilitarajia kila kiongozi anayesimama aseme tunahitaji tume huru ya uchaguzi, neno hilo litumike mpaka liwe kero kwa kila mtu. Halafu mtangaze kutumia nguvu ya umma tena kwa herufi kubwa, kuwa mtatumia nguvu ya umma kwakuwa tume ya uchaguzi sio huru. Tunatakiwa tuingie kwenye uchaguzi huku tukiifanya tume iwe haiaminiki, na hata matokeo itakayotoa yasiaminike kabisa. Kwasababu iwe isiwe lazima tume hii iibebe ccm, namna pekee ni kuinyima uhalali wa kusimamia uchaguzi, na kuitangaza kwenye kila platform kuwa sio huru.
NB: tarehe 7/7/20 tuhakikishe tunavaa nguo nyeupe, ili kupandisha hamasa ya kudai tume huru vya uchaguzi. Madai ya tume huru ya uchaguzi ni ya halali na hayana muda. Kwahiyo hakuna kisingizio cha kuwa muda umeisha.
Sana tu mtavunjwa sana miguuMwaka huu unakwenda kuacha historia kwa hii nchi.
Mkuu, ulikuwepo pale Kinondoni alipouliwa Binti Akwilina?Upinzani nchii hii mathalan CHADEMA hawana nia ya dhati ya kutwaa madaraka kwenye nafasi yoyote ya Uongozi hasa nafasi ya Urais wa nchii hii , Period.. Wanachofanya ni kubweka tu kama m.bw.a koko asiye na meno ! Kazi kulia lia tu.
Tumbo lakuuma kwa woga.Mnyika ni failure, sijui kwanini hata waliamua kumpa Ukatibu mkuu.
Wewe mjinga umeweza nini ikiwa hata jina lako unaficha humu jinga kabisaMnyika ni failure, sijui kwanini hata waliamua kumpa Ukatibu mkuu.
Wewe hata tulipokuwa tunawaambia Mashinji ni mzigo ulishupaza shingo, nyie mpaka damu ziwatoke masikioni i kama kenge ndio mnasikia.Umeishiwa hoja?
Nani kakuambia nakusemea? Mimi nazungumzia uhalisia wa kisiasa Chadema ni matapeli wa kisiasa. Kama Ccm ni mafisadi ingefanya maendeleo makubwa kama haya! Au unaleta hoja za hisia tu? Waliohama Chadema waliunga juhudi kwa dhamira zao wenyewe baada ya kumkubali JPM na Ccm.
mkuu naona unajaribu kuingiza mada mpya. hivi kwa mazingira ya kisiasa ya Sasa nchini kweli Upinzani wanajitapa kwenda kushinda Uchaguzi? Bila Tume huru ya Uchaguzi kweli???Mkuu, ulikuwepo pale Kinondoni alipouliwa Binti Akwilina?
Sawa, shukrani zako nyingi kama ulichangia kuwatoa viongozi wa CHADEMA gerezani Segerea.
Samahani sana, kama hukunielewa hapa.
ke.nge wewe jina langu litakusaidia niniWewe mjinga umeweza nini ikiwa hata jina lako unaficha humu jinga kabisa
Kuna kutoelewana.mkuu naona unajaribu kuingiza mada mpya. hivi kwa mazingira ya kisiasa ya Sasa nchini kweli Upinzani wanajitapa kwenda kushinda Uchaguzi? Bila Tume huru ya Uchaguzi kweli???