Nguvu ya umma UDSM yashinda

Hata siku moja huwezi kuwa na wabunge 23 Tanzania nzima halafu useme una nguvu ya Umma hizo zitakuwa akili za kunguru mgonjwa!

Hata wali 'waasi' wa libya hawakua na mbunge hata 1. Lakini mwisho wa siku wakamchomeka vijiti ....
Wabunge 23 ni wengi sana. Things might change in magnitude you cannot predict! Peoplezz!!
 
Hata siku moja huwezi kuwa na wabunge 23 Tanzania nzima halafu useme una nguvu ya Umma hizo zitakuwa akili za kunguru mgonjwa!

Kama mnafikiri ccm mnakubalika kwa kuangalia idadi ya wabunge basi mmekwisha maana pote mliiba kura,iweje kafumu ashinde then akasherehekee ushindi singida na dsm badala ya igunga ?
 
Haya warud class,wawe macho na kitabu maana inaweza ikawa kidogo kidogo sup mara cary then unachezeshwa kiduku(disco)..
 
Hata siku moja huwezi kuwa na wabunge 23 Tanzania nzima halafu useme una nguvu ya Umma hizo zitakuwa akili za kunguru mgonjwa!
CHADEMA ni zaidi ya wabunge 23 lipo kundi kubwa la watanzania waliopo nyuma ya CHADEMA.
 

Kwa tuliopo hapa UD tunajua kilicho endelea baada ya maandamano.
Watu zaidi ya 40 walisimamishwa masomo.
Umma wa UD ulitoa kauli moja ya kutoingia madarasani,na kufunga ofisi za chuo had hapo madai ya wanaUD yatakapofikiwa!
Jana asbh Prof MUKANDALA amenukuliwa na gazeti la Magamba(Uhuru) kwamba wanafunzi 8 wamesimamishwa miezi 9 masomo.
Lakini,jana usiku maji yaliwafika shingoni utawala,ikabid tu iwarudishe masomon4 wanafunz wote 40.
Together we can!
 
Welldone safi sana na hongereni napole kwa walio umizwa kwa namna yoyote ile ikiwa na kupotezewa muda,usindi upo karibu,
 
Big up makamanda, sio kama wale wa chuo cha kata waliotelekeza wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…