Nguvu yangu inatoka wapi?

mmh mkuu labda una mapepo .sory lakn kwn huskii kama kna mtu anakuonglesha
 

Una pepo la roho ya nuksi kwa jinsia pinzani, wewe halikuathiri bali limechagua mwili wako kama makao yake ya kutimiza uovu wake
 
Watu 7.5 billion Ni wangap waliokufa kwa hizo nguvu zako??
 
Mmmh ... Sijui kwa nini niko kwenye hili jukwaa najitisha😳
 
Reactions: dtj
Na hayo yote yamefanyika kwa muda gani!!???!!!!???
 
Unamapepo ww angalia yakisosa wakumdhuru yatakudhuru ww mwenyewe.
 
Hilo ni pepo, kama hufurahiahwi na hiyo hali pata huduma ya maombi itasaidia sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…