Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Nchi yetu ilisherekea tulipofuzu AFCON lakini baada ya hapo si wanasiasa wala wanamichezo ambao wamejitolea kuonyesha mbwembwe kuelekea fainali hizo huko Misri....hakuna ahadi wala maneno ya viongozi yanayotia hamasa.
Je tunawasubiri washinde ndo tuanze kutoa maneno? Au tumekata tamaa na kikosi chetu?
Je tunawasubiri washinde ndo tuanze kutoa maneno? Au tumekata tamaa na kikosi chetu?