Nguvu za giza " the power of darkness"

Infact, giza lipo na Lina nguvu halikadhalika nuru ipo na ina nguvu.
 
Labda nijidanganye mwenyewe Brethren ila siyo jamii yoyote ya wazi au ya Siri.
Yohana 1:5 "Nayo nuru yang'aa gizani; wala giza halikuishinda."
...........................
Maneno yangu: Hapa inaonesha kuwa nuru hung'aa inapokuwa gizani.
Naam, katika ulimwengu huu wa mwili ama ulimwengu wa roho ngazi fulani, ili nuru ionekane kuwa nuru ni lazima kuna giza, hakuna namna ingine yoyote ile, isipokuwa sehemu ingine ambayo nuru ni mahali pale hasa hapo ambapo hakuna usiku wala mchana, hapo daima ni nuru wala hiza lolote hakuna kabisa. Sababu hiza nalo limeumbwa kama vingine vyote vilivyoumbwa
 
Mzee upo deep, napenda maarifa, napenda sana maarifa katika njia salama mzee. Naendelea kukifunza kiongozi
 
Ni miongoni mwa siri ambazo hayupo anayezifahamu ila Mwenyenzi Mungu.
Kama giza linasimamia hali ya kutokujua mambo, hasa katika uumbaji wa viumbe hai Duniani, ni wazi linaonekana kutangulia kabla kiumbe hajapata maarifa (nuru)
 
So Mungu alikuwepo Kipindi ambacho Hakuna Maarifa?
Na kipindi cha Upotevu?
Giza Lina maana Kubwa sana nakushauri Soma TANAKH sana kuna vingi kwenye Lugha ya Kiebranja imefichwa
 
So Mungu alikuwepo Kipindi ambacho Hakuna Maarifa?
Na kipindi cha Upotevu?
Giza Lina maana Kubwa sana nakushauri Soma TANAKH sana kuna vingi kwenye Lugha ya Kiebranja imefichwa
Naomba kama una document ya Tanakh nisaidie Dr.
 
Palipo na Nuru hakuna Giza.

Usidanganywe na masonry.
Ukitaka ku-prove washa taa gizani kisha jiulize giza huenda wapi? Kisha Zima taa jiulize hutokea wapi?
Hivi vitu vipo na ni kitu kilekile katika mawanda tofauti
 
Ukitaka ku-prove washa taa gizani kisha jiulize giza huenda wapi? Kisha Zima taa jiulize hutokea wapi?
Hivi vitu vipo na ni kitu kilekile katika mawanda tofauti
kile kile..unamaanisha kwamba..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…