Nguvu za kiume, kukosa hamu ya sex na uke mkavu.. Msaada

Wewe ndio una matatizo yote haya?!
 
Nabkuloana = nakuloana
[HASHTAG]#Huko[/HASHTAG] shule mlienda kusomea madem (in FF voice)
 
Acha maneno mzee.... Lete vitu... Namaanisha kuloana..

Toa mchango sasa
 
nunua ky mpake itakaa sawa tena inatreeeza inakua laiiiniiiii
 
Sasa matatizo yote yakwako ama....mara uke mara nguvu
 
km una tatizo la nguvu za kiume ww ndio chanzo cha mpenzi wako kua na uke mkavu...uwaga ina muathiri mwanamke kiasi flan tibu nguvu hizo mwanamke hana tatizo huyo....nguvu unakosa kwa sababu gani jibu hilo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…