Nguvu za kiume zimekua tatizo

Nguvu za kiume zimekua tatizo

yusuf57

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
322
Reaction score
665
Wakuu hivi mmewah kujiuliza n Kwann sahiv tatizo LA nguvu za kiume limekua gumzo...yan ukijifanya doctor wa nguvu za kiume nowadays unapiga sana hela....
..ukwel n kwamba hamna mwanaume aliyezaliwa hana nguvu za kiume .....
...life style yetu ndo inatuponza...panoja na baadh ya ulaji wa vyakula vyenye mafuta na wanga sana....na vitu vyenye sukari...hatunywi maji mengi na matunda....
..
Ukwel n kwamba watanzania wengi pesa zetu ndo zinatumaliza ....mtu ulitoka kijijini umezoea kula samaki chuku chuku na ugal tena dona ...ukija mjini ukiotea vichenji unabadilisha mfumo....chips yai...kuku wa kisasa ...mayai ya kisasa ..sembe...
...hapo ndo tunapofeli...
Kuna baadhi ya v2 vitakusaidia kuondokana na tatizo lako..
1.Fanya mazoez
2.kua na utamaduni wa kunywa maji mengi kabla ya show
3.kua na utamaduni wa kula ndizi mbivu /mihogo/Nazi/maziwa/karanga na mbegu za maboga
4.Acha kujichua (Nyeto)
5.Ondoa msongo wa mawazo
6.punguza kula vitu vyenye sukari
7.Kua na utamaduni wa kutafuna ginger yan tangawizi na kitunguu swaum...

Hayo n machache2 ...JFnawasilisha
 
Kama unajihisi unamatatizo ya nguvu za kiume lakini Uume wako husimama ima kwa kumtamani mwanamke au kuangalia picha chafu za ngono wewe huna tatizo la nguvu za kiume unatatizo la kiakili, kukojoa mapema, kutomtamani mkeo au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa ni tatizo la kiakili.
 
Kama unajihisi unamatatizo ya nguvu za kiume lakini Uume wako husimama ima kwa kumtamani mwanamke au kuangalia picha chafu za ngono wewe huna tatizo la nguvu za kiume unatatizo la kiakili, kukojoa mapema, kutomtamani mkeo au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa ni tatizo la kiakili.
Inawezekana pia n mtazamo2
 
Ningependa kuwakaribisha wote wenye tatizo la uume mdogo au kibamia au wale wanaopend kuongez urefu wa uume
Pili kwa wale wenye tatizo la ngiri,kuwahi kufika kileleni ,kuchelewa kurudia ,uume legelege ,hamu ndogo pamoja na walioathirika na masturbation na wenye kisukari

Tiba zetu n za asili na tunapatikana songwe na tunduma ila mikoani tunatuma kwenye gari kwa usalama mkubwa na kwa baathi ya mikoa mteja hatolipia mpaka apoke dawa yake
Bei ya tiba ni sh 25000 kwa 50000 tiba nzima

Tiba zetu tumeanza kutoa kwanzia 13/7/2018 mpaka leo hii na hakuna mtu ambaye amelalamika kuhusu tiba izi muhimu ni mtu kuzingatia utaratibu wa dawa
Kwa wale waiotumia dawa nyingi mpaka wamekata tamaa mm ninawapa guarantee ya kujaribu tiba zetu na matokeo yake watayafurahia
Ninapenda kusisitiza tena sisi sio maroboti na pia hatuna utapeli wowote bali n kufanya kazi kwa ajili ya kusaidiana kitiba na kiuchumi
Cha mwisho sisi hatukupi tu dawa bali utapatiwa na somo pamoja na uelewa juu ya sayansi ya uume na matatizo na njia za kujilinda
Wote mnakaribishwa:-
0765798288
 
Nipigie 0713924581 upate dawa toka congo

Kwepa kuuziwa vumbi feki, njoo nikuuzie vumbi original na nitakuruhusu test kabla ya kununua.

Kwa wale wenye tatizo la nguvu za kiume kutokana na kisukari, presha, punyeto nao pia nina tiba yao.
IMG_20190615_161147.jpeg
IMG_20181225_132409.jpeg
IMG_20190501_081918_162.jpeg
 
Kama unajihisi unamatatizo ya nguvu za kiume lakini Uume wako husimama ima kwa kumtamani mwanamke au kuangalia picha chafu za ngono wewe huna tatizo la nguvu za kiume unatatizo la kiakili, kukojoa mapema, kutomtamani mkeo au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa ni tatizo la kiakili.
Ni kwamba akili zetu mbovu mkuu, kwahiyo unatupa ushauri gani sasa ili kujinusuru katika janga hili zito..
Tunahitaji busara zako kwa niaba ya wanachama wenzangu.😢
 
Kama unajihisi unamatatizo ya nguvu za kiume lakini Uume wako husimama ima kwa kumtamani mwanamke au kuangalia picha chafu za ngono wewe huna tatizo la nguvu za kiume unatatizo la kiakili, kukojoa mapema, kutomtamani mkeo au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa ni tatizo la kiakili.
Elimisha zaidi hapa mkuu!
 
Ningependa kuwakaribisha wote wenye tatizo la uume mdogo au kibamia au wale wanaopend kuongez urefu wa uume
Pili kwa wale wenye tatizo la ngiri,kuwahi kufika kileleni ,kuchelewa kurudia ,uume legelege ,hamu ndogo pamoja na walioathirika na masturbation na wenye kisukari

Tiba zetu n za asili na tunapatikana songwe na tunduma ila mikoani tunatuma kwenye gari kwa usalama mkubwa na kwa baathi ya mikoa mteja hatolipia mpaka apoke dawa yake
Bei ya tiba ni sh 25000 kwa 50000 tiba nzima

Tiba zetu tumeanza kutoa kwanzia 13/7/2018 mpaka leo hii na hakuna mtu ambaye amelalamika kuhusu tiba izi muhimu ni mtu kuzingatia utaratibu wa dawa
Kwa wale waiotumia dawa nyingi mpaka wamekata tamaa mm ninawapa guarantee ya kujaribu tiba zetu na matokeo yake watayafurahia
Ninapenda kusisitiza tena sisi sio maroboti na pia hatuna utapeli wowote bali n kufanya kazi kwa ajili ya kusaidiana kitiba na kiuchumi
Cha mwisho sisi hatukupi tu dawa bali utapatiwa na somo pamoja na uelewa juu ya sayansi ya uume na matatizo na njia za kujilinda
Wote mnakaribishwa:-
0765798288
 
Wakuu hivi mmewah kujiuliza n Kwann sahiv tatizo LA nguvu za kiume limekua gumzo...yan ukijifanya doctor wa nguvu za kiume nowadays unapiga sana hela....
..ukwel n kwamba hamna mwanaume aliyezaliwa hana nguvu za kiume .....
...life style yetu ndo inatuponza...panoja na baadh ya ulaji wa vyakula vyenye mafuta na wanga sana....na vitu vyenye sukari...hatunywi maji mengi na matunda....
..
Ukwel n kwamba watanzania wengi pesa zetu ndo zinatumaliza ....mtu ulitoka kijijini umezoea kula samaki chuku chuku na ugal tena dona ...ukija mjini ukiotea vichenji unabadilisha mfumo....chips yai...kuku wa kisasa ...mayai ya kisasa ..sembe...
...hapo ndo tunapofeli...
Kuna baadhi ya v2 vitakusaidia kuondokana na tatizo lako..
1.Fanya mazoez
2.kua na utamaduni wa kunywa maji mengi kabla ya show
3.kua na utamaduni wa kula ndizi mbivu /mihogo/Nazi/maziwa/karanga na mbegu za maboga
4.Acha kujichua (Nyeto)
5.Ondoa msongo wa mawazo
6.punguza kula vitu vyenye sukari
7.Kua na utamaduni wa kutafuna ginger yan tangawizi na kitunguu swaum...

Hayo n machache2 ...JFnawasilisha
Hahaha
 
Back
Top Bottom