D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 3,799 Reaction score 10,196 Jan 19, 2024 #1 Pale unapopenda na kujenga taswira katika ubongo kisha unaenda kukuta ulichofikiria sio!
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 Jan 19, 2024 #2 Huo ni utapeli wa mapenzi
Restless Hustler JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 5,150 Reaction score 20,025 Jan 19, 2024 #3 Vita ni vita
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Jan 19, 2024 #4 Huo ni wizi kama wizi Mwingine.....tatizo hatutaki kujikubali aisee
kapyoko JF-Expert Member Joined May 10, 2022 Posts 1,365 Reaction score 2,134 Jan 19, 2024 #5 Wanawake wembamba watamu saana aisee,kwanza una mkunja unavotaka wewe Ila hao wenye minyama kila baada ya dk 10 lazima aombe cooling break
Wanawake wembamba watamu saana aisee,kwanza una mkunja unavotaka wewe Ila hao wenye minyama kila baada ya dk 10 lazima aombe cooling break
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 38,283 Reaction score 97,793 Jan 19, 2024 #6 Fursa, nauza hiyo minofu ya kujazia jazia uonekane una nyama.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Jan 19, 2024 #7 Unafalije inlavu kwa mtu hata hujamuona live??? Hapo lazima akili ikukae sawa na ujifunze cc Smart911
Unafalije inlavu kwa mtu hata hujamuona live??? Hapo lazima akili ikukae sawa na ujifunze cc Smart911