Nguzo 7 za Mafanikio Kupitia Manifestation, Nguzo Kwanza ni Kuijua Asili ya Manifestation, Kuwa na Ndoto, Kutia Nia, Kuamini, Kuthubutu, na Kutenda

Gratitude ni Law inayohusu shukurani, kushukuru na kupendezwa na yale uliyo nayo.

Hiyo Polarity ni kwamba kila kitu kina Opposite side, yani mazuri na mabaya. Mfano upendo na chuki, maumivu na furaha, kukosa na kupata
Sasa kama ni hivyo kwanini watu wakikosa wanalaumu shetani😁😁😁 swali la kizushi lakini?
 
NB.
Hata wachawi, waganga wa jadi na mitume na manabii for years huzitumia hizi mbinu ainishi na end of the day wanapata positive results
 
Nimekuelewa Mzee Mayalla.... nitajaribu kuzingatia.
 
MANIFESTATION inahitaji nguvu ya kiakili kuweza kuyaona yale unayotamani kuyapata kabla hata hujayapata.

The trick is, DON'T DESIRE or DON'T WANT. You must exercise REVERSE PSYCHOLOGY.

Ukiwa unataka hela USITAKE HELA. Ukiwa unataka gari USITAKE GARI. Amini kwamba tayari UNALO na uende mbali zaidi kujenga taswira kwamba tayari unalimiliki na unaliendesha.

Hata ukitaka demu mzuri usimng'ang'anie sana. Ukimganda unatengeneza HALI YA UKOSEFU, and you will continue to experience the STATE OF LACK because you are VIBRATING at its frequency.

Ndio maana wanaume malaya wanagombaniwa na wanawake kwa sababu hawako katika STATE OF LACK, wameshiba papuchi wanatomba kila siku na kila saa. THEY ARE VIBRATING at a frequency of ABUNDANCE ndio maana wanawake wanawafuata kama sumaku.

Mwenye nacho anaongezewa zaidi, na asiye nacho hata kile kidogo alichonacho ananyang'anywa.

Cc: min -me MIN - me Bob Manson MIN-me DR Mambo Jambo NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Extrovert Poor Brain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…