mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.
Awali nilijua labda zinatengenezwa ndani zinawekwa nondo na seng'enge ili kuongeza uimara kumbe ni tofauti ,hii ni hatari kwasababu kokoto na cement haihusiki kama mti unavyojishika, cement ina tabia ya kujiachia tofauti na nyuzi katika mti , ndio maana hata mti(nguzo ya mti) ikigongwa na kitu kizito uangukaji wake utakuwa tofauti na nguzo ya zege inavyodondoka
Nguzo ya zege inakatika vibaya ikiwa inashuka, unadondoka mithili ya jengo kuporomoka kwa maana itashuka ikiwa vipande vipande tofauti na ya mti ambayo inaweza ikaanguka ila bado imejishikza kidogo palipo katika
Iwapo TANESCO wameamua kutumia hizi za zege vizuri hata ziwekwe nondo ambayo italinda uporomokaji mbaya au kukatika hovyo.
Inasemekana moja iliwahi kuanguka maeneo ya Mwananyamala ikaua mtu.
Kuna haja ya kuziwekea nondo ziwe imara hivi hivi zitakuwa na madhara sana.
Source: ITV
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.
Awali nilijua labda zinatengenezwa ndani zinawekwa nondo na seng'enge ili kuongeza uimara kumbe ni tofauti ,hii ni hatari kwasababu kokoto na cement haihusiki kama mti unavyojishika, cement ina tabia ya kujiachia tofauti na nyuzi katika mti , ndio maana hata mti(nguzo ya mti) ikigongwa na kitu kizito uangukaji wake utakuwa tofauti na nguzo ya zege inavyodondoka
Nguzo ya zege inakatika vibaya ikiwa inashuka, unadondoka mithili ya jengo kuporomoka kwa maana itashuka ikiwa vipande vipande tofauti na ya mti ambayo inaweza ikaanguka ila bado imejishikza kidogo palipo katika
Iwapo TANESCO wameamua kutumia hizi za zege vizuri hata ziwekwe nondo ambayo italinda uporomokaji mbaya au kukatika hovyo.
Inasemekana moja iliwahi kuanguka maeneo ya Mwananyamala ikaua mtu.
Kuna haja ya kuziwekea nondo ziwe imara hivi hivi zitakuwa na madhara sana.
Source: ITV