ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Kabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.Hatari sana.
Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.Hatari sana.
Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
Kiwanda chao ndiyo kile kipo BagamoyoDerm ndio mzalishaji na waliingia na Tanesco mkataba wa kikuda kweli kweli....
Hizo nguzo ni nzuri sana kama standard zote zinazingatiwaaa, Ila kama wameanza kuzichakachua msalaaa huoo
Za sahv kuna uchakachuaji unafanyikaHivi ni kwanini nguzo za zege hazitumiki kama nguzo za umeme?
Je, kuna haja ya kuagiza nguzo kutoka south Africa au kuharibu misitu wakati cement tunayo, kokoto tunazo na mchanga tunao? ================================= Nguzo hizi zinauwezo wa kudumu kwa muda wa hadi miaka 300 bila kuoza wala kuliwa na mchwa, na ni very light weight kwa sababu ni...www.jamiiforums.com
Nguzo za zege zina steel cage ndani yake, otherwise hao wamefanya uchakachuaji
Ndio ndio Mzee...Kiwanda chao ndiyo kile kipo bagamoyo
Ova
Sio kweli kwamba hazina viwango, nimejengea line sehemu flani hizo nguvu ni nzuri sana, ingawa Inawezekana kuna uchakachuaji maana waswahili tuna matatizo Sana..Hatari sana.
Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
WashachakachuaSio kweli kwamba hazina viwango, nimejengea line sehemu flani hizo nguvu ni nzuri sana, ingawa Inawezekana kuna uchakachuaji maana waswahili tuna matatizo Sana..
Sio wahuni hata kidogo.. kuna mchezo unafanyika.. nilipo kinyume nao ni Derm mkataba walio ingia na Tanesco sijui kama walibadilisha au lah... Maana hata CEIL nae alitaka aanze zalisha hizo nguzo Ila kikwazo ukawa mkataba... Kama wameanza chezeana michezo ya kibiashara Tu.. Ila hizo nguzo zipo zenye ubora Sana na nimezitumiaKabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.
Na inaweza ikawa fitina kibiasharaWashachakachua
Ova
Kwa hiyo kama kuna "uchakajuaji" zisiondolewe? Zibaki kuwepo?Sio kweli kwamba hazina viwango, nimejengea line sehemu flani hizo nguvu ni nzuri sana, ingawa Inawezekana kuna uchakachuaji maana waswahili tuna matatizo Sana..
Tuache siasa mkuu!Kwa hiyo kama kuna "uchakajuaji" zisiondolewe? Zibaki kuwepo?
Tusizungushane kwa maneno, duniani huko wanarudisha mpaka magari kwa maelfu yanayowagharimu viwanda vyake mabilioni ya mapesa kwa akuwa yameleta pengine ajali moja tu.
Tusicheze na maneno, tunaongelea usalama wa watu na mali zao.
Wewe umezitumia tu, ulizifanyia "test" zipi za kitaalam kugunduwa kuwa zinahodhi viwango vinavyokubalika, na hizo test zilifanyika wapi?
Hapa kweli watu procurement na assessment wanahusika. Kama hakuna prestressed steel cage and construction moth ndani ya hizo nguzo ni janga litakaloleta maafa kilasiku. Maana hizo nguzo bila nondo na waya ndani yake zinaweza kudondoka zenyewe pale upepo unapozidi.Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.
Mkuu katika hili umepatikana😀. Ngoja watu waanze kuiporomoshea matusi na rejections Tanesco ili washtuke.Tuache siasa mkuu!
Sitetei chochote naangalia Kwa pande zote... Ndio maana hata Derm sijawakubali namna walivyo cheza kuingia ubia na Tanesco kuhusu huu mradi wa nguzo, labda hivi karibuni wawe wamrbadilisha makubaliano...
CEIL pia walikuwa wanataka zalisha hizo nguzo na wadau wengine.. uchunguzi ufanyike.. itajulikana.. Inawezekana pia ikawa michezo kibiashara kuharibiana.. Hiyo nguzo ichumguzwe itajulikana kama ni ya derm au ilipachikwaaa simple.. Tu maana kwenye ujenzi huwa nguzo zinawekwaaa.. mwingine kama ana Nia mbaya anaweza akaja akaweka na zake mbili Tatu juu
Hiko ni cha kuvamiwa na wakaguzi wa serikali, wakijiridhisha ni nguzo zilizokosa ubora wawajibishwe. Mtu alishafariki kwa upumbavu wa watu wachache, je yakitokea maafa makubwa zaidi itakuwaje? Itafikia kipindi tutaanza kutafutana mtaani kwa kila mzembe kwenye nafasi yake hasa viongozi na kuwajibishana kwa sheria za mtaani.Kabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.
Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.
Awali nilijua labda zinatengenezwa ndani zinawekwa nondo na seng'enge ili kuongeza uimara kumbe ni tofauti ,hii ni hatari kwasababu kokoto na cement haihusiki kama mti unavyojishika, cement ina tabia ya kujiachia tofauti na nyuzi katika mti , ndio maana hata mti(nguzo ya mti) ikigongwa na kitu kizito uangukaji wake utakuwa tofauti na nguzo ya zege inavyodondoka
Nguzo ya zege inakatika vibaya ikiwa inashuka, unadondoka mithili ya jengo kuporomoka kwa maana itashuka ikiwa vipande vipande tofauti na ya mti ambayo inaweza ikaanguka ila bado imejishikza kidogo palipo katika
Iwapo TANESCO wameamua kutumia hizi za zege vizuri hata ziwekwe nondo ambayo italinda uporomokaji mbaya au kukatika hovyo.
Inasemekana moja iliwahi kuanguka maeneo ya Mwananyamala ikaua mtu.
Kuna haja ya kuziwekea nondo ziwe imara hivi hivi zitakuwa na madhara sana.
Source: ITV
We ndiyo unakwenda kwenye siasa.Tuache siasa mkuu!
Sitetei chochote naangalia Kwa pande zote... Ndio maana hata Derm sijawakubali namna walivyo cheza kuingia ubia na Tanesco kuhusu huu mradi wa nguzo, labda hivi karibuni wawe wamrbadilisha makubaliano...
CEIL pia walikuwa wanataka zalisha hizo nguzo na wadau wengine.. uchunguzi ufanyike.. itajulikana.. Inawezekana pia ikawa michezo kibiashara kuharibiana.. Hiyo nguzo ichumguzwe itajulikana kama ni ya derm au ilipachikwaaa simple.. Tu maana kwenye ujenzi huwa nguzo zinawekwaaa.. mwingine kama ana Nia mbaya anaweza akaja akaweka na zake mbili Tatu juu
Unamjua yule ustaadh anayezitengeneza lakinHatari sana.
Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
Huyo anafikiri ni miti ya miembe au miarobaini inayotengeneza hzo nguzo😁Miti gani unaongelea?
Vipi kuhusu Mkataba wa Bandari yetu na DP World,unazungumziaje hilo?.Hatari sana.
Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
Hata awe pengo, ziondolewe tu.Unamjua yule ustaadh anayezitengeneza lakin