Nguzo za TANESCO zilizotengenezwa kwa cement ni hatari, zinazua taharuki

Nguzo za TANESCO zilizotengenezwa kwa cement ni hatari, zinazua taharuki


Nguzo za zege zina steel cage ndani yake, otherwise hao wamefanya uchakachuaji
Za sahv kuna uchakachuaji unafanyika

Ova
 
Hatari sana.

Ziondolewe zote, hazina viwango, mtu kishapiga dili lake hapo.
Sio kweli kwamba hazina viwango, nimejengea line sehemu flani hizo nguvu ni nzuri sana, ingawa Inawezekana kuna uchakachuaji maana waswahili tuna matatizo Sana..
 
Kabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.
Sio wahuni hata kidogo.. kuna mchezo unafanyika.. nilipo kinyume nao ni Derm mkataba walio ingia na Tanesco sijui kama walibadilisha au lah... Maana hata CEIL nae alitaka aanze zalisha hizo nguzo Ila kikwazo ukawa mkataba... Kama wameanza chezeana michezo ya kibiashara Tu.. Ila hizo nguzo zipo zenye ubora Sana na nimezitumia
 
Sio kweli kwamba hazina viwango, nimejengea line sehemu flani hizo nguvu ni nzuri sana, ingawa Inawezekana kuna uchakachuaji maana waswahili tuna matatizo Sana..
Kwa hiyo kama kuna "uchakajuaji" zisiondolewe? Zibaki kuwepo?

Tusizungushane kwa maneno, duniani huko wanarudisha mpaka magari kwa maelfu yanayowagharimu viwanda vyake mabilioni ya mapesa kwa akuwa yameleta pengine ajali moja tu.

Tusicheze na maneno, tunaongelea usalama wa watu na mali zao.

Wewe umezitumia tu, ulizifanyia "test" zipi za kitaalam kugunduwa kuwa zinahodhi viwango vinavyokubalika, na hizo test zilifanyika wapi?
 
Kwa hiyo kama kuna "uchakajuaji" zisiondolewe? Zibaki kuwepo?

Tusizungushane kwa maneno, duniani huko wanarudisha mpaka magari kwa maelfu yanayowagharimu viwanda vyake mabilioni ya mapesa kwa akuwa yameleta pengine ajali moja tu.

Tusicheze na maneno, tunaongelea usalama wa watu na mali zao.

Wewe umezitumia tu, ulizifanyia "test" zipi za kitaalam kugunduwa kuwa zinahodhi viwango vinavyokubalika, na hizo test zilifanyika wapi?
Tuache siasa mkuu!

Sitetei chochote naangalia Kwa pande zote... Ndio maana hata Derm sijawakubali namna walivyo cheza kuingia ubia na Tanesco kuhusu huu mradi wa nguzo, labda hivi karibuni wawe wamrbadilisha makubaliano...

CEIL pia walikuwa wanataka zalisha hizo nguzo na wadau wengine.. uchunguzi ufanyike.. itajulikana.. Inawezekana pia ikawa michezo kibiashara kuharibiana.. Hiyo nguzo ichumguzwe itajulikana kama ni ya derm au ilipachikwaaa simple.. Tu maana kwenye ujenzi huwa nguzo zinawekwaaa.. mwingine kama ana Nia mbaya anaweza akaja akaweka na zake mbili Tatu juu
 
Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.
Hapa kweli watu procurement na assessment wanahusika. Kama hakuna prestressed steel cage and construction moth ndani ya hizo nguzo ni janga litakaloleta maafa kilasiku. Maana hizo nguzo bila nondo na waya ndani yake zinaweza kudondoka zenyewe pale upepo unapozidi.
Dah kila sehemu watu wanapiga😩🤔
 
Tuache siasa mkuu!

Sitetei chochote naangalia Kwa pande zote... Ndio maana hata Derm sijawakubali namna walivyo cheza kuingia ubia na Tanesco kuhusu huu mradi wa nguzo, labda hivi karibuni wawe wamrbadilisha makubaliano...

CEIL pia walikuwa wanataka zalisha hizo nguzo na wadau wengine.. uchunguzi ufanyike.. itajulikana.. Inawezekana pia ikawa michezo kibiashara kuharibiana.. Hiyo nguzo ichumguzwe itajulikana kama ni ya derm au ilipachikwaaa simple.. Tu maana kwenye ujenzi huwa nguzo zinawekwaaa.. mwingine kama ana Nia mbaya anaweza akaja akaweka na zake mbili Tatu juu
Mkuu katika hili umepatikana😀. Ngoja watu waanze kuiporomoshea matusi na rejections Tanesco ili washtuke.
Kwanini lakini kila sehemu kuna uzembe tu?🥵
 
Kabisa tena nasikia kiwanda kipo njia ya ile ya bagamoyo, wahuni sana.
Hiko ni cha kuvamiwa na wakaguzi wa serikali, wakijiridhisha ni nguzo zilizokosa ubora wawajibishwe. Mtu alishafariki kwa upumbavu wa watu wachache, je yakitokea maafa makubwa zaidi itakuwaje? Itafikia kipindi tutaanza kutafutana mtaani kwa kila mzembe kwenye nafasi yake hasa viongozi na kuwajibishana kwa sheria za mtaani.
 
Habari wana jamvi,
Kama heading inavyojieleza hizi nguzo za TANESCO ambazo zimetengewa kwa cement uimara wake ni mdogo na ni hatarishi hasa maeneo ya makazi na yenye watu wengi.

Awali nilijua labda zinatengenezwa ndani zinawekwa nondo na seng'enge ili kuongeza uimara kumbe ni tofauti ,hii ni hatari kwasababu kokoto na cement haihusiki kama mti unavyojishika, cement ina tabia ya kujiachia tofauti na nyuzi katika mti , ndio maana hata mti(nguzo ya mti) ikigongwa na kitu kizito uangukaji wake utakuwa tofauti na nguzo ya zege inavyodondoka

Nguzo ya zege inakatika vibaya ikiwa inashuka, unadondoka mithili ya jengo kuporomoka kwa maana itashuka ikiwa vipande vipande tofauti na ya mti ambayo inaweza ikaanguka ila bado imejishikza kidogo palipo katika

Iwapo TANESCO wameamua kutumia hizi za zege vizuri hata ziwekwe nondo ambayo italinda uporomokaji mbaya au kukatika hovyo.

Inasemekana moja iliwahi kuanguka maeneo ya Mwananyamala ikaua mtu.

Kuna haja ya kuziwekea nondo ziwe imara hivi hivi zitakuwa na madhara sana.
Source: ITV


Hivi ni kweli, kweli kabisa kweli! Naihurumia nchi yangu Tanganyika.
 
Tuache siasa mkuu!

Sitetei chochote naangalia Kwa pande zote... Ndio maana hata Derm sijawakubali namna walivyo cheza kuingia ubia na Tanesco kuhusu huu mradi wa nguzo, labda hivi karibuni wawe wamrbadilisha makubaliano...

CEIL pia walikuwa wanataka zalisha hizo nguzo na wadau wengine.. uchunguzi ufanyike.. itajulikana.. Inawezekana pia ikawa michezo kibiashara kuharibiana.. Hiyo nguzo ichumguzwe itajulikana kama ni ya derm au ilipachikwaaa simple.. Tu maana kwenye ujenzi huwa nguzo zinawekwaaa.. mwingine kama ana Nia mbaya anaweza akaja akaweka na zake mbili Tatu juu
We ndiyo unakwenda kwenye siasa.


Mradi nguzo mpaka zimeua na kuleta madhara kwa mali za raia, mimi nasema hazifai.

Teknolojia ya miaka ya 1800's tunaitumiaje leo hii bila kuiboresha? Are we that stupid?
 
Back
Top Bottom