Ngwair vs Jay Moe (AKA Mimi vs Ulimwengu ndio Mama)

Ngwair vs Jay Moe (AKA Mimi vs Ulimwengu ndio Mama)

Aha! Aha! Jay Moe (Jay Moe)
Bongo Records (Bongo Records)
Maisha Ya Boarding (Aaah)
Ulimwengu ndo mama! (Aaah)! (Aaah)! (Aaah)!
UBETI 1
Maisha ya boarding noma, Jay Moe nimesoma,
Na ndo lipo nlipata neno Ulimwengu ndo mama,
Primary sikupass, sikuwa na nyota njema,
Ikabidi nikasome boarding kuziepuka lawama,
Mi n'navyoona maisha ya boarding yana raha na noma,
Ila wanafunzi wengine kwao hayakuwa salama,
Kama wewe Form One shida kibao utapata,
Kuna kuibiwa, kuna kuna adhabu, maisha kama vita
Siku za mwanzoni ni siku za kufanya tathmini,
Niliogopa sana mambo ya kupiga simu chooni,
Viongozi wenyewe wazamu, hawana akili timamu,
Bakora mtindo mmoja mpaka fulani atoke damu!
Hapo binamu sikugoma, kazi zao nilifanya
Ili nisiwe ukingoni mwa sakafu na mbio za panya,
Morning jioni niko job, me ni denti au mjeshi?
Shule za boarding bwana mizengwe haiishi,
Ukiongea Kiswahili adhabu "Swahili speaker"!
Kweli, huu ungwana? Hii si ni lugha ya taifa?
Mbona inakuwa adhabu? Mi sikusoma English Media,
Shule ya msingi Uswahilini, huko ni Swahili Media
KIITIKIO
Tunanyanyasikaa, faidikaa
Twatesekaa, maisha ya boarding,
Chakula shidaa, twahangaikaa
Taabikaa, maisha ya boarding X2
UBETI 2
Asubuhi nakwenda bwaloni nakuta uji,
Uji bila sukari ni mchemsho wa sembe na maji
Shule ina kantini kuna chai bila kushangaa
Itakubidi uweke iwe freshi ili usife njaa
Kwani mchana ni soo, kote kabichi na ugali
Wali mpaka siku ya sherehe na siku hiyo ni hatari
Waalimu fimbo mkononi kisa wali na nyama!
Hapo ndipo utauona ubora wa baba na mama
Teacher class anateach sum, nje watu wanapuff some,
Mtoto wa mama bora usome day bongo Dar es Salaam
Iramba hakuna tuition, Iramba hakuna fashion,
Kama unakwenda town hadi utegee gari ya Mission
Term inapoanza watu wako safi kama bosi
Sababu hakuna pombe hapo ni pamba misosi
Baada ya miezi miwili watu wamechoka ile mbaya
Wakianza kula ugali hali imezidi kuwa mbaya,
Wengine wana majiko mpaka pilau wanapika,
Ila teacher akishtuka basi na shule itakwisha!
Walioogopa mambo Shauritanga si mnakumbuka?
Walioogopa hata wasifanye jipu likajatubuka
KIITIKIO MARA 2
UBETI 3
Wengine wanafukuzwa shule kwa makosa tofauti,
Huyu hula bangi, huyu usiku alifumwa na binti
Yaani usiku mchana kasheshe, inahitaji uwe fiti
Ili usifukuzwe shule, ukifukuzwa itakuwa vipi?
Kama una dem subiri hadi shule kufungwa,
Sehem ni town tu, Dar es Salaam wanafugwa
Wanaojifanya wagonjwa mida ya break wanapona,
Ilimradi wazunguke wee kusaka waschana,
Baada ya break kwa bwenini story kila kitanda,
Wengine utaskia ooh Carolina ana mimba!
Na shule inakuwa chungu kwenye zamu za kwenda shamba,
Wajanja hawakwenda, wengi waliokwenda ni washamba
Watu hawaogi wiki labda iwe weekendi
Baridi kama Urusi maji bafuni hayapandi,
Watu umande kila siku, maisha ya boarding hayafai
Hata awe dada mkuu wakimwotea hakatai
Wengine wanakwenda wajiseti huku mpira hawachezi
Na vingine vingi mtu yeyote kumaliza hawezi
Ndo maana boarding zenye elimu ni za Seminari
Shule kama Iramba mwanao ni lazima atafeli!
KIITIKIO MARA 2
Maisha ya boarding bwana!
Bora mlosoma day
Maisha ya boarding siyo mchezo
Utafikiri kambi ya mafunzo
KIITIKIO
Tunanyanyasikaa, faidikaa
Twatesekaa, maisha ya boarding,
Chakula shidaa, twahangaikaa
Taabikaa, maisha ya boarding X2
Umetisha! Ila kwenye jina la shule, ni Irambo, sio Iramba.
 
KIITIKIO
Nyambizi nakupendaa japoo Mkuubwaa,
Mateso ninayopato usiku ni makuubwaa!
Naomba unielewee uwewangu mchuumbaa,
Nyambizi nakupendaa japoo mkuubwaa!
UBETI 1
Cheki, night kali nilimtembelea Eddy Tazz, katika yake kazi, ya ulinzi, hukooo Tangi Bovu Mbezi.
Basi tunapiga story si ndo kapita nyambizi, Na mwendo wa mapozi, nami nikampigia mluzi.
Basi akasimama akapiga hatua saba mithili ya mtu anayetaka kukaba, halafu akaja akaniuliza;
Kwani weee nani? (Hidaya)
Nikamwambia mie naitwa Prince Dully Sykes, basi alishangaa huyoo!
Haa kumbe nd'o uliyeimba Julietha, yaani siamini! (Hidaya)
Nikamwambia naomba uniamini.
Kwani tulishawahi kuonana lini? (Hidaya)
Ok! nakumbuka ilikuwa siku ya Valentine up to date Empire mjini, ulikuwa na rafiki yako alibeba mfukowa nylon.
Haa n'shakumbuka siku ile nilikuwa na Winnie (Hidaya)
Mhhh! Ulikuwa umevaa kitop cheupe, pamoja no kimini. Kwani wee unafanya kazi gani?
Nafanya kazi katika shirika la benki nchini lipo palepale mjini (Hidaya)
Anhoha! Nyambizi, nimefurahi sana kukutia machoni.
Anhahaa Dullyacha utani! (Hidaya)
Hee, Nyambizi, wallai nataka nikwambie neno ambalo linanisumbua mi moyoni.
Dully neno gani (Hidaya)
Nyambizi, nataka uwe nami maishani.
Kwa hilo haliwezekani (Hidaya)
Nyambizi kwa nini?
Unajua Dully wee kiumri bado upo chini (Hidaya)
Dah! Nyambizi,japokuwa unamiaka arobainimi nataka uwe nami maishani
Nimesema haiwezekoni na nnaazidi kuchelewa nyumbani (Hidaya)
Ok! Sasa Nyambizi tutaonana lini?
Ok! Nakupa promise njoo Jumapili saa Kumi jioni FM Club Kinondoni
(Hidaya)
KIITIKIO x2
UBETI 2
Jumapili jioni, nilikwenda mpaka FM Club Kinondoni, nikiwa nalindwa na John Wandiba pembeni.
Tunafika getini, tunaona kila mtu anatuangalia sisi usoni. Tukaingia ndani kwa shauku, humo ndani kulijaa watu.
Siku hiyo nilikuwa na mapene kama mobutu. Naangalia kushoto, namuona nyambizi jimama, akiwa na Abby Sykes, nikasogea na kutoa salaam.
Kwenye mashavu yake Nyambizi nikamshumu, jicho nyannya siku hiyo nilikula ndumu.
Kama kawaida, baba kasogea katuachia nafasi mie na nyambizi tupate kuongea. Nami matatizo yangu yote nyambizi nikamuelezea.
Mara naona anaaanza kunchekea, na macho kunilegezea. Mwisho nyaambizi anaanza kuniambia;
Dully, ombi lako moyoni nimeliridhia (Hidaya)
Weweee! Hapo hapo mwani ukaanza kunijia, Nikatamani kumvamia, lakini ule muda wa kuishia ukawadia.
Hatukutaka tabu, tukachukua Cab mpaka hoteli yo karibu Kaishi akaanza kupata ulabu, nilimuuliza maswali hakunijibu,Alibaki kama bubu.
Kwa ajili yo pombe ilimtoka aibu ilibidi aniambie;
Dully chukua chumba ukanienzi! (Hidaya)
Nikaenda mapokezi kulipia chumba cha mapenzi
Mimi na nyambizi mpenzi, tukaingia ndani, tukaanza na romans, pole pole tena kwa pozi.
Ukawadia ule muda wa dozz, nikamuuliza, Nyambizi tunaweza kulala?
King'asti unataka kulala ushakula? (Hidaya)
Aah! Nyambizi, nionee huruma mi sio kuchu, nipe japo kiduchu, mi n'shachoka kupiga puchu!
Dully nakuonea huruma usije ukadata, haya kazime taa uje kupata! (Hidaya)
Huwii! Nikaenda kuzima taa ili nipate n'nachotaka. Nyambizi mama la kitanga, kiuno kizima kajaza shanga.
Huwezi kuamini kwa jinsi alivyozipanga, kala mkorogo unaweza kujua ni mmanga!
Jimama kote anacheza, hadi sodoma. Japo kanimeza lakini mchezo anauweza.
Na sijui wapi mchezo huu aliupokeza. Sababu macho anafumba na kiuno anakilegeza.
Semenimeni, semenimeni mpaka morning, nyambizi haniachi, hasikii wala haoni.
Nami sitoweza kumuacha, usiku huo ilikuwa bila zana. Ngoma dry ajali kazini mpaka kunakucha, Wwaaa!
 
Jay Mo alichomzidi Ngwea ni ubora wa mashairi, yupo vizuri sana kwenye tungo

Lakini beat, kunata na beat, kucheza na maneno ya kitaa na club bangers Ngwea yupo ulimwengu mwingine

Nasimama na AKA MiMi
 
Back
Top Bottom